Mapengo 17
R I P
- Mar 28, 2014
- 1,228
- 618
Mbunge wa Viti maalumu Chadema mkoani Mara, Leticia Nyerere, (katikati) akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO jijini Dar es Salaam jana kuhusu kuhama kutoka chama chake cha chadema na kuhamia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Kulia ni mtoto wake,Helena Nyerere na Julia Nyerere.
Hiyo ndiyo Demokrasia.