Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,565
- 47,011
Acha kiwewe basi
Happiness is a lifestyle
Acha kiwewe basi
Hahahahahahaha wewe unaiwaza liver tuu huna khabar na taifa starsMkuu hamuendi popote all the best Uganda and Lesotho
Mkuu unamshangaa huyu popoma. Licha ya kuwa chura hata jina la kike kachukua kutoka Kenya. Mwanaume kuitwa Wanjiru ni hatari. Sasa usishangae kushangilia wageni imekuwa fashion yao siku hizi.Wewe ni Yanga enhe???maana Yanga ndio mnaenjoy sana kushangilia wageni
Sent using Jamii Forums mobile app
Hwaendi popote kivipi Mkuu??Mkuu hamuendi popote all the best Uganda and Lesotho
Lesotho labda ashinde njaaLesotho akishinda taifa stars ndo basi tena;
Angalia msimamo wa kundi lao View attachment 1051521
Zitauzwaa tu nusu bei kwenye kanteeeeeeniiiiii za wajedaaaKwahyo Lesotho akishinda Beer hazitauzwa nusu bei?
Mkuu kimtindo we ni mfuasi wa kampeni kama mimi maana hiyo kitu iko wazi sana kwa watu wa sokaNimeangalia lakini nimeona imekaa kitaalamu mno, hebu nifafanulie nielewe. Maana nimeangalia nimeona kama sote tuna Poinnt tano tano. Maana hiyo wakishinda wote watakuwa na Pointi nane nane. Tatizo liko wapi?
Unajua hata alieanzisha hii campaign alikuwa hajui hii kitu kaja kustuka baadae ila ndio hivyo si sio mtu wa sokaSio goal difference bali head to head meatings.
Tumedroo nao hapa wakatuchapa kwao. Ukilinganisha wao wana point nne kati ya sita siai tuna moja kati ya sita.
Hawa watu wa hamasa sijui walikuwaga wapi enzi hizo. Hii mechi na lesotho ni kama haikuchezwa maana ilipooza kwa sababu haikutangazwa. Madhara ya kukumbuka shuka asubuhi tutang'atwa tu na mbu usiku.
Kwa mfano Lesotho wakishinda hata kwa goli moja tu, Jee Taifa stars watasonga mbele?
Unapowajumlisha yanga kwenye maoni ya mtu mmoja ni kama unataka kuifanya kesho mechi ni ya simba labda kwa taarifa yako tu simba na yanga zimeanza kuombeana mabaya kwa timu za nje juzi sana baada ya manara na muro kuingilia soka tafuta mechi ya simba na Ismailia taifa au yanga na casablanca haya maupuuzi hayakuwepo binafsi ni yanga lakini hakuna mechi iliniuma kama mechi ya simba na ile timu ya sudani second leg usipowasikiliza hawa wasemaji utabaki na ushabiki wako ila ukiwasikiliza wao utakuwa wa ajabuajabuMkuu unamshangaa huyu popoma. Licha ya kuwa chura hata jina la kike kachukua kutoka Kenya. Mwanaume kuitwa Wanjiru ni hatari. Sasa usishangae kushangilia wageni imekuwa fashion yao siku hizi.
Unajua kidogo kidogo mpaka imekuwa mazoea.
Kocha wa uganda anataka record mkuu haya mambo mengine ye hayajui kenya kawahi kumzuia uganda kenya akiwa kaishafuzu tayari sio rahisi mchezaji anapochezea timu ya taifa aingie na mentality ya kufungwa afu hii campaign imeharibu kidogo maana imefanya game igeuke derby ya east africaLakini Uganda ndo wanaonekana wako siliasiiii na hii mecchi kuliko sisi ,sisi maneno wao wapo njian kutokea misri kisa point 3 zetu
Nimejaribu kuangalia Mara mbili mbona Lesotho kwenye GD anadaiwa 4 Tanzania mbiliLesotho akishinda taifa stars ndo basi tena;
Angalia msimamo wa kundi lao View attachment 1051521
Hapana naona Tanzania anadaiwa magoli machache kuliko lesothoTatizo ni goal difference hapo ndo itaifanya taifa start iyaage mashindano
Sisi tulikuwa tumefuzu kama tusingelemaa mechi ya kwanza kabisa against Lesotho. Mie nitalia na TFF kwenye hii mechi kutoipa heshmaKwa mfano Lesotho wakishinda hata kwa goli moja tu, Jee Taifa stars watasonga mbele?
Kinachoangaliwa ni head to head sio goli ulizofunga na kufungwa.
Tatizo ni mechi waliyotufunga goal difference hawa angalia. Tukilingana points kigezo kinachofuata ni head to headTatizo ni goal difference hapo ndo itaifanya taifa start iyaage mashindano
Kesho saa mbili usiku nitakupakata huku nakunywesha bia kwa hela zangu.Mkuu unamshangaa huyu popoma. Licha ya kuwa chura hata jina la kike kachukua kutoka Kenya. Mwanaume kuitwa Wanjiru ni hatari. Sasa usishangae kushangilia wageni imekuwa fashion yao siku hizi.
Unajua kidogo kidogo mpaka imekuwa mazoea.