Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,068
- 33,552
Kwa mfano Lesotho wakishinda hata kwa goli moja tu, Jee Taifa stars watasonga mbele?
Kumbe Lesotho ikishinda sisi inakuwa siyo "zamu Yetu" tena?Itasonga ugali tu,,,itakuwa ndo mwisho wa mpira siasa hata wakishinda goli 100 taifa.Game muhimu ya lesotho tulipoteza kizembe sana sasa hivi ndo tunakuja na kampeni ya zamu yetu.Hatuna dira tunaendeshwa na upepo tu.
Zamu yenu mwakani,Mungu ibariki LesothoKumbe Lesotho ikishinda sisi inakuwa siyo "zamu Yetu" tena?
Yetu, au mwenzetu sio MWENZETU......?
Acha ramli! Lesotho atatoa sare huko ugenini.
Mkuu hamuendi popote all the best Uganda and LesothoAcha ramli! Lesotho atatoa sare huko ugenini.
labda mbele za hakiKwa mfano Lesotho wakishinda hata kwa goli moja tu, Jee Taifa stars watasonga mbele?
Nimeangalia lakini nimeona imekaa kitaalamu mno, hebu nifafanulie nielewe. Maana nimeangalia nimeona kama sote tuna Poinnt tano tano. Maana hiyo wakishinda wote watakuwa na Pointi nane nane. Tatizo liko wapi?Lesotho akishinda taifa stars ndo basi tena;
Angalia msimamo wa kundi lao
Tatizo ni goal difference hapo ndo itaifanya taifa start iyaage mashindanoNimeangalia lakini nimeona imekaa kitaalamu mno, hebu nifafanulie nielewe. Maana nimeangalia nimeona kama sote tuna Poinnt tano tano. Maana hiyo wakishinda wote watakuwa na Pointi nane nane. Tatizo liko wapi?
Tena wakishinda moja tu kisha stars wakashinda 200 bado lesotho wanapita.Kwa mfano Lesotho wakishinda hata kwa goli moja tu, Jee Taifa stars watasonga mbele?
Sio goal difference bali head to head meatings.Tatizo ni goal difference hapo ndo itaifanya taifa start iyaage mashindano
Lakini mbona Pointi zao na zetu ziko sawa!Hapana.
Tena wakishinda moja tu kisha stars wakashinda 200 bado lesotho wanapita.
Sasa nimeelewa.Sio goal difference bali head to head meatings.
Tumedroo nao hapa wakatuchapa kwao. Ukilinganisha wao wana point nne kati ya sita siai tuna moja kati ya sita.
Hawa watu wa hamasa sijui walikuwaga wapi enzi hizo. Hii mechi na lesotho ni kama haikuchezwa maana ilipooza kwa sababu haikutangazwa. Madhara ya kukumbuka shuka asubuhi tutang'atwa tu na mbu usiku.
Mimi ni Mlesotho,nyie endeleeni kuwa na BashiteYetu, au mwenzetu sio MWENZETU......?