Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,696
- 1,685
Kuna fununu kuwa mfanya biashara maarufu Bw. Reginald Mengi alikuwa wa kwanza kuomba leseni ya Mobile Telecommunication.
Lakini kwa sababu zisizojulikana awamu iliyopita ilimyima Leseni na badala yake wakapewa Vodacom.
Je kuna mtu anafahamu ukweli wowote kwenye fununu hii?
Je kama Mengi angepewa, ingekuwa ina impact gani katika uchumi wa nchi?
Lakini kwa sababu zisizojulikana awamu iliyopita ilimyima Leseni na badala yake wakapewa Vodacom.
Je kuna mtu anafahamu ukweli wowote kwenye fununu hii?
Je kama Mengi angepewa, ingekuwa ina impact gani katika uchumi wa nchi?