rommy shabby
JF-Expert Member
- Jun 26, 2017
- 1,122
- 1,313
- Thread starter
- #21
Ukifika kino pale kanisani upande wa shoto kama watokea magomeni kwa mbele kdg kabla ujaifikia ile yard ya magari karibu na kituo cha morocco kuna njia inashuka chini ni barabara ya lami so kule one way karibu na msikiti, ukiwa tyr nicheki pm nitaenda nawe kiongozi usjl kabiaa
Kino sehem gani