Leopard shotokan karate

Leopard shotokan karate

rommy shabby

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2017
Posts
1,122
Reaction score
1,313
Kwa wale wapenzi wa martial arts, leopard inawatangazia nafasi za kujiunga ili upate mafunzo ya kujiamini na silaha na mazingira mbalimbali, leopard ina walimu wazuri na imeota wapiganaji wazuri tu kwenye sanaa hii ya mapigano chini ya SHIHAN PHILIP CHIKOKO 4DAN, muda wa mazoezi ni saa moja hadi tatu Usk, kwa wale wanaoanza kabia yaan white belt mafunzo ni siku tatu za wiki j4, alhmis na ijumaa, location ni Kinondoni.

Ada zetu ni 50k kwa mwezi
Form elfu 5000

Dojo (sehem ya mafunzo /darasa) likesajiliwa na kutambulika kisheria. kila baada ya miezi mitatu kutakuwa na mitihani kwa wanafunzi watakao kuwa wamefuzu kufanya mitihani, mitihani ni ya vitendo, pia kila baada ya miezi 3 kutakuwa na mashindano yatakayokusanya madojo yote Dar es Salam na nje ya dar es Salaam chini ya shirikisho la SKIF (SHOTOKAN KARATE FEDERATION )
 

Attachments

  • Screenshot_2020-01-10-07-18-33-1.jpeg
    Screenshot_2020-01-10-07-18-33-1.jpeg
    53.1 KB · Views: 16
  • Screenshot_2020-01-10-07-19-11-1.jpeg
    Screenshot_2020-01-10-07-19-11-1.jpeg
    31.1 KB · Views: 14
Yes hao walikuwa waserbia walikuwa ni wanajeshi walikuja kwenye seminar mwaka juzi ilifanyika pale osterbay chini ya mwalimu wetu chikoko, karibu sn mkuu
Huyo bonge usinambie Ana black belt
 
Dah hongera sn kiongozi umenifurahisha kuona jinsi gani unapenda martial arts, hapa pia kuna dojo la watoto wadogo
Yaaah ila napenda Sana shotokan aiseee balaaaaa now mtoto wangu wa kike ana green belt I wish hata afike black belt Dan 2 hapo ndio napo taka aishie
20181209_093955.jpeg
 
Haha kumite ndio karate pia unapata challenge mbalimbali na kujua wapi urekebishe
Shukran one day tutaona hapo Mana mm napenda sana kumite Mana ndio napojua kile nilichojifunza kimenikaa au vip
 
Haha kumite ndio karate pia unapata challenge mbalimbali na kujua wapi urekebishe
Yaaah huwa napenda mapigano baada ya kufundishwa Technics mbali mbali za kublock mateke na ngumi na vifu na mapanga huwa sipend Sana kata japo lazima ucheze kata techinc na mapigano katika upandishwa wa rank
 
Yes zinaitwa kihon ni muhimu sn mkuu ukipata muda siku njoo dojo sema muda na mwenyewe ndio issue kdg maana ni saa moja Usk, kata ni muhim kwenye kupanda rank na pia inakusaidia kwenye kutafuta wepesi na kutoa maamuzi ya ghafla kwenye mapambano.
Yaaah huwa napenda mapigano baada ya kufundishwa Technics mbali mbali za kublock mateke na ngumi na vifu na mapanga huwa sipend Sana kata japo lazima ucheze kata techinc na mapigano katika upandishwa wa rank
 
Back
Top Bottom