Leonel Messi

Leonel Messi

Messi ni balaa, jana walikua anawapanga city na kuwapunguza kama wamefungwa mawe miguuni

mtoto hana adabu yule

jana alikuwa katika ubora wake, kila alichofanya kiligeuka dhahabu
 
Messi ndiyo huwa ananifanya niangalie mpira wa Ulaya !ViNGINEVYO MIMI NI SIMBA VS YANGA TU NA MCHANGANI
Messi mpira ulimkubali sana ila nyavu zilimkataa, kwa kweli HART amepunguza kwa kiasi kikubwa idadi ya magoli
 
Gadiola alishindwa kuzuia mahaba yake
Mahaba ni maradhi, kwa kweli alisuuzika sana kwa siku ile si vizuri kuwa nae karibu anaweza akakipiga teke kibahati mbaya kwa jinsi mdadi ulivyomkolea.

Kuna uvumi kuwa msimu ujao 2015-2016 anarudi tena Camp nou
 
Messi ndiyo huwa ananifanya niangalie mpira wa Ulaya !ViNGINEVYO MIMI NI SIMBA VS YANGA TU NA MCHANGANI
Nakubali maneno yako.

Anateleza kama samaki majini.

Ila sijui kwanini akiwa timu yake ya Taifa huwa hafanyi mambo makubwa kama ayafanyayo akiwa na klabu yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom