Leonel Messi

Leonel Messi

Jana kampiga tobo ya hatari Milner wa Man City.
 
Nasikia jana Hart alipunguza aibu na kadi za njano zilikuwa za kutosha kwa mancity.... dah messi ni hatariiii
 
wataalam wa mambo wanasema jana Messi alikuws kwenye Aliens mode
 
Messi ni balaa, jana walikua anawapanga city na kuwapunguza kama wamefungwa mawe miguuni

mtoto hana adabu yule
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom