Hii ni miongoni mwa maada ngumu zilizowahi kupostiwa hapa jamvini,..watu wanajua mengi ingawa hawataki kuyasema.
google last supper/davinci code.......wanafalsafa wa kale wamekuwa wakidadisi kwa muda mrefu sana uhusiano tete kati ya yesu na Marry Magdalena...kuna waandishi wengi ambao waluigusia uhusiano huu na wakaishia kupotezwa na Romani empire ikiwamo Leonanardo davinci...baada ya mchoro huo Davinci alihama nchi yake kwa kuhofia maisha yake ambayo yaliwekwa rehani na utawala wa Roma wa kipindi chake...kisa chake kinamambo meni ..lakini simulizi ambazo zimeendelea kuzikwa ni ukweli kuhusu maisha ya Yesu...
1)..nini position ya Marry Magdalena b4, during & after jesus christ.
2) mbona alivuma ghafla katika biblia na kupotea ghafla baada ya kifo cha yesu..ni sawa na maisha ya Yoseph mme wa mama yake yesu nayo ni kizungu mkuti.
3) alegations kwamba yesu alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na Merry Magdalena na walipata watoto wawili ni za kale even b4 Leonardo who is did put the thing in public via drawings..na inasemekana baada ya kifo chake watoto na familia yake ilitoroshewa ulaya magharibi inasemekana hasa parts za Ireland/UK
Hii ni miongoni mwa maada ngumu zilizowahi kupostiwa hapa jamvini,..watu wanajua mengi ingawa hawataki kuyasema.
Huyo jamaa angetafiti kwanza ili ajue kuwa hata inayodaiwa kuwa "sura" ya Yesu ilikuwaje hasa ikawa maarufu angejua jambo kubwa sana
Huyo Da Vinch mwenyewe alikuwa anabuni hizo mambo zake hazina ukweli wowote,siku moja nilikuwa natazama National Geographic Channel walikuwa wanazungumzia huu upuuzi wa kizazi cha Yesu
Kuna mambo mengine hata ukitumia akili za mtoto w chekechea tu utagudua ni uji.nga!
Hii nayo ni pumba nyingine
Hivi tuwaeleweje nyie watu?
Mara Yesu ni story tu na hapakuwahi kuwepo na mtu aliyeishi duniani wa aina hii!
Mara sijui nini!
Mbona mnatapatapa?
Hakuna ugumu hapo!
Watu hao hao wanasema Yesu hakuwahi kuwepo
Watu hao hao wanadai hayo aliyosema huyo jamaa!
Huwezi kugundua kilichoko katikati hapo?
Hapa sizungumzii mwaka ambao da vinci aliishi…hizi habari zilikuepo tangu zamani wala hakua da vinci wa kwanza kuzizungumzia habari hizi. hiyo ni picha ya kubuni ndio wala sijasema kua ni picha halisi lakini aliibuni akimaanisha kitu ndio maana utapata theory nyingi kuhusu hiyo picha ikiwemo hiyo ya marry magdarena.[hata kibonzo kinabuniwa lakini kinawakilisha kitu].lakini mda mwingine ujue ukishika dini sana taarifa kama hizi utazipinga hata kama huna fact yeyote ya maana. Una uhakika gani kama hii ilikua kweli au haikua kweli?....kwa mfano kipindi cha Galileo galilei kanisa lilitoa mafundisho ambayo yalitofautiana na yale ya Galileo mpaka ikapelekea kuuwawa…lakini kanisa lilificha kwa interest zao binafsi….Ingekuwa hayo ni maandishi ya Marko au Luka kungekuwa na cha maana
Hivi si u-google tu ili ujue huyo jamaa aliishi mwaka gani?
Halafu jiulize ni kwanini michoro yake ichukuliwe serious kiasi hiki?
Kwani Da vinch ni nani?
Kila mtu anajua hiyo ni picha ya kubuni ni sawa na yule jamaa aliecheza filam ya Yesu aitwe au kuchukuliwa ndie Yesu!
Pathetic!!
Hapa sizungumzii mwaka ambao da vinci aliishi…hizi habari zilikuepo tangu zamani wala hakua da vinci wa kwanza kuzizungumzia habari hizi. hiyo ni picha ya kubuni ndio wala sijasema kua ni picha halisi lakini aliibuni akimaanisha kitu ndio maana utapata theory nyingi kuhusu hiyo picha ikiwemo hiyo ya marry magdarena.[hata kibonzo kinabuniwa lakini kinawakilisha kitu].lakini mda mwingine ujue ukishika dini sana taarifa kama hizi utazipinga hata kama huna fact yeyote ya maana. Una uhakika gani kama hii ilikua kweli au haikua kweli?....kwa mfano kipindi cha Galileo galilei kanisa lilitoa mafundisho ambayo yalitofautiana na yale ya Galileo mpaka ikapelekea kuuwawa…lakini kanisa lilificha kwa interest zao binafsi….
the story starts wih the codififation of the bible.. during roman era.....hivi jiulize kwa nini mathehebu ya kikritsu yanatumia biblia zinazotofautiana..kwanini kuna vitabu flani katika bble ya wakatoliki lakini havipo ktk bble ya protestants..who decides what in faith and why?do you know that it happened in catholic church where it had two popes?....This was the situation in the 14th century that led to the Papal Schism (known also as the WesternSchism), when there were two popes Urban VI in Rome and Clement VII inAvignon both claiming to represent God on Earth.....ndugu dini ni kizungumkuti mno mambo mengi hayaeleweki...na ndio maana huko alikozaliwa yesu ISRAEL..kuna kabila ambalo wanasubiri azaliwe masiah..wakati wewe unasubiri arudi mara ya pili! shangaa na hilo.....usiwe mkali jibu hoja
we jamaa huna fact yeyote hivi we umezaliwa tu umekuta wazazi wako wanasari may be ni wa kristo na we umekua mkristo na wangekua waislamu na we wenda ungekua muislamu tu...tatizo ukiwa sana pro na dini habari nyingine hutaki kusikia na unakua blind!...kama waafrika tulikua tuna abudu miti na milima...we unadhani ingekuaje kama hao wasingeleta dini zao huku? ungekua mkristo au....na umekua mkristo una imani gani kua hao waliokuletea dini wewe ni dini ya kweli? au waliitengeneza kwa manufaa yao binafsi?Hii nayo ni pumba nyingine
Hivi tuwaeleweje nyie watu?
Mara Yesu ni story tu na hapakuwahi kuwepo na mtu aliyeishi duniani wa aina hii!
Mara sijui nini!
Mbona mnatapatapa?
Ukiachana na picha ya monarisa pia Leonardo alichora picha maarufu ya the last supper ambayo pia ilizua utata kwani inadaiwa kuna siri kubwa iliyofichwa kwenye picha hiyo. Inadaiwa ya kuwa huyo mtu aliyekaa pembeni ya yesu kristu upande wa kushoto alikua ni marry magderena
Hapa sizungumzii mwaka ambao da vinci aliishi…
hizi habari zilikuepo tangu zamani wala hakua da vinci wa kwanza kuzizungumzia habari hizi.
hiyo ni picha ya kubuni ndio wala sijasema kua ni picha halisi lakini aliibuni akimaanisha kitu ndio maana utapata theory nyingi kuhusu hiyo picha ikiwemo hiyo ya marry magdarena.[hata kibonzo kinabuniwa lakini kinawakilisha kitu]
.lakini mda mwingine ujue ukishika dini sana taarifa kama hizi utazipinga hata kama huna fact yeyote ya maana.
Una uhakika gani kama hii ilikua kweli au haikua kweli?...
So what?.kwa mfano kipindi cha Galileo galilei kanisa lilitoa mafundisho ambayo yalitofautiana na yale ya Galileo mpaka ikapelekea kuuwawa…lakini kanisa lilificha kwa interest zao binafsi….
we jamaa huna fact yeyote
hivi we umezaliwa tu umekuta wazazi wako wanasari may be ni wa kristo na we umekua mkristo na wangekua waislamu na we wenda ungekua muislamu tu..
.tatizo ukiwa sana pro na dini habari nyingine hutaki kusikia na unakua blind!..
Tatizo lako unadhani kila mtu anafanya mambo kama kondoo bila kuhoji.kama waafrika tulikua tuna abudu miti na milima...we unadhani ingekuaje kama hao wasingeleta dini zao huku? ungekua mkristo au....na umekua mkristo una imani gani kua hao waliokuletea dini wewe ni dini ya kweli? au waliitengeneza kwa manufaa yao binafsi?
Umeitoa wapi hii?Religion is a philosophy..na falsafa hain majibu kwa asili yake ni maswali mwanzo mwisho..wenyewe wanait the searh of truth..when will it end.. no one knows.......
Umbwe ni nini?umbwe ulioachwa ndio wewe uanzie hapo kuleta cha kwako..
Nani amewaita watu mashetani?ucwaite wenzio mashetani kisa wanakosoa unachoamini...
Una uhakika na hili?hata wakrisu wanamuona Allah ni shetani kisa ni Mungu wa waislaam...
Kivipi?dini ni masaibu makubwa kupata kuja katika dunia hii
kaka letu vitu, lete vitu..baelezee
we jamaa huna fact yeyote hivi we umezaliwa tu umekuta wazazi wako wanasari may be ni wa kristo na we umekua mkristo na wangekua waislamu na we wenda ungekua muislamu tu...tatizo ukiwa sana pro na dini habari nyingine hutaki kusikia na unakua blind!...kama waafrika tulikua tuna abudu miti na milima...we unadhani ingekuaje kama hao wasingeleta dini zao huku? ungekua mkristo au....na umekua mkristo una imani gani kua hao waliokuletea dini wewe ni dini ya kweli? au waliitengeneza kwa manufaa yao binafsi?
Religion is a philosophy..na falsafa hain majibu kwa asili yake ni maswali mwanzo mwisho..wenyewe wanait the searh of truth..when will it end.. no one knows.......umbwe ulioachwa ndio wewe uanzie hapo kuleta cha kwako..ucwaite wenzio mashetani kisa wanakosoa unachoamini...hata wakrisu wanamuona Allah ni shetani kisa ni Mungu wa waislaam...dini ni masaibu makubwa kupata kuja katika dunia hii
Hili linafahamika sababu yake ni ninithe story starts wih the codififation of the bible.. during roman era.....hivi jiulize kwa nini mathehebu ya kikritsu yanatumia biblia zinazotofautiana..kwanini kuna vitabu flani katika bble ya wakatoliki lakini havipo ktk bble ya protestants..who decides what in faith and why?
Kitu gani kilitokea wakati huo?do you know that it happened in catholic church where it had two popes?....This was the situation in the 14th century that led to the Papal Schism (known also as the WesternSchism), when there were two popes – Urban VI in Rome and Clement VII inAvignon – both claiming to represent God on Earth.....
Hapanandugu dini ni kizungumkuti mno mambo mengi hayaeleweki...
Kabila gani hilo?na ndio maana huko alikozaliwa yesu ISRAEL..kuna kabila ambalo wanasubiri azaliwe masiah..
"Wewe" ni nini/nani?wakati wewe unasubiri arudi mara ya pili! shangaa na hilo.....usiwe mkali jibu hoja