Siku hizi hunipendi kama zamani. sijui kwanini....
Sababu pochi yako nayo imekua ngumu sana
hamna mkuu ila kiunoni kushuka kama mswaki kwenye jagi
yani ni bora ingekuwa evolution ndo haijakamilika sasa huyo revolution kutokamilika inaweza kuishia kama mambo ya nkurunzinza.
mkuu hapana....mm ashaniona pitia inster,whatsup ila yy ilikua mwendo wa pasport......sasa leo ndio nimemwona akiwa mzma ikabd nifungue turbo
mm co beauty ila ni HB
Basi ntakununulia kaAltezza ka kuendea gengeni...