amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,143
- 31,275
jamani
Kipaji Halisi embu njoo jamani si unajua Mtambuzi yupo makalio bar na Arushaone na Preta.
Swahiba Paloma dah hapatikani pole sana kwa msiba wa mama Madame B kakamatia pedeshee na simu kazima.
My love wa zamani KakaKiiza kakwama kwenye foleni.
watu8 alishatuasi zamani sana he he he wakati naandika Vin Diesel anatia maguu.
Asprin anaifakamia govinda kumar sijui anaipendea nini eti Mentor unaweza nisaidia huyu mzee anaipendea nini hiyo makitu.
ladyfurahia unakumbuka juzi uliniahidi nini?
Mwisho manoah karibu azam juice maana hapa mwanachama wa hiyo kampuni nipo peke yangu
Kipaji Halisi embu njoo jamani si unajua Mtambuzi yupo makalio bar na Arushaone na Preta.
Swahiba Paloma dah hapatikani pole sana kwa msiba wa mama Madame B kakamatia pedeshee na simu kazima.
My love wa zamani KakaKiiza kakwama kwenye foleni.
watu8 alishatuasi zamani sana he he he wakati naandika Vin Diesel anatia maguu.
Asprin anaifakamia govinda kumar sijui anaipendea nini eti Mentor unaweza nisaidia huyu mzee anaipendea nini hiyo makitu.
ladyfurahia unakumbuka juzi uliniahidi nini?
Mwisho manoah karibu azam juice maana hapa mwanachama wa hiyo kampuni nipo peke yangu
Last edited by a moderator: