vugwe Senior Member Dec 18, 2020 113 296 Jan 7, 2021 Thread starter #281 FORWARD said: Ukioa huyo mpaka kwenye ndoa ataendelea kukupima hivyo hivyo. Watu wanachepuka kimya kimya ila huyo wazi wazi. Click to expand... nimeamua kumpiga chini mkuu
FORWARD said: Ukioa huyo mpaka kwenye ndoa ataendelea kukupima hivyo hivyo. Watu wanachepuka kimya kimya ila huyo wazi wazi. Click to expand... nimeamua kumpiga chini mkuu
khaligraph JF-Expert Member Nov 19, 2016 1,083 961 Jan 8, 2021 #282 Huyo mbuzi ako na low IQ. Asa ndo uongo gan ss huo??
Mbobo JF-Expert Member Jan 13, 2017 1,380 1,800 Jan 12, 2021 #283 Mtana96 said: Mbobo Click to expand... hivi uyo mdanganya mbona hana mipango kabisa
Mzee Shirimaa JF-Expert Member Sep 12, 2018 1,539 3,440 Jan 12, 2021 #284 Unataka Ushauri coz Dem kakudanganya kindezi afu huna backup ...ungekua na backup saa hii ungekua upo ndani ya taulo Ntu baada ya ntu
Unataka Ushauri coz Dem kakudanganya kindezi afu huna backup ...ungekua na backup saa hii ungekua upo ndani ya taulo Ntu baada ya ntu
M MBUZI MWENYE BUSARA Senior Member Nov 24, 2019 143 151 Jan 13, 2021 #285 vugwe said: Kwakweli ni mbuzi kabisa na kufuatia huu ushauri wenu na mimi napigilia msumali wa mwisho ndio nimepiga chini rasmi tena sitarudi nyuma Click to expand... Huyu ulivyokausha yeye ndo atakuwa amefurahi maana ndo malengo yake umuache aendelee na mpangaji mpya
vugwe said: Kwakweli ni mbuzi kabisa na kufuatia huu ushauri wenu na mimi napigilia msumali wa mwisho ndio nimepiga chini rasmi tena sitarudi nyuma Click to expand... Huyu ulivyokausha yeye ndo atakuwa amefurahi maana ndo malengo yake umuache aendelee na mpangaji mpya
luckyline JF-Expert Member Aug 29, 2014 15,023 21,266 Jan 13, 2021 #287 Futa no zake haraka sana.sio kwa umalaya huo.yaan na wewe unadanganywa kama mtoto?
kiboboso JF-Expert Member Sep 17, 2013 9,182 12,286 May 29, 2021 #288 vugwe said: nimeamua kumpiga chini mkuu Click to expand... Mkuu najua mlirudiana tuuuu.