Leo niwazungumzie binadamu wa njano

Leo niwazungumzie binadamu wa njano

N'yadikwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2014
Posts
8,213
Reaction score
12,530
Hawa ni watu ambao maneno mengi vitendo hakuna au vitendo vichache.

Tuna makundi naam! Manne ya binadamu leo ni hawa yellows. Wengine ni:
2. Reds
3. Greens
4. Blues

Nitawachambua mmoja mmoja.

Ila leo fahamu. Kama pale kazini kwenu unae mtu ambae ni maneno mengi, basi fahamu huyo ni Yellow.

Yellow akikaa sehemu au ofisi yake ni kama pamepigwa bomb.

Yellow anaongea sana

Yellow huwa ni muongo muongo

Yellow huwa hawezi kuipangilia siku anaweza kukumbia leo napaka rangi hili kabati na rangi keshanunua, ila ikifika saa 10 jioni utaona hata kopo la rangi halijafunguliwa!

Yellow ni janja janja kwa ufupi.

Most politicians are yellowish
 
Kuna binadamu wa mboga mboga wanaongoza nchi
 
Hawa ni watu ambao maneno mengi vitendo hakuna au vitendo vichache.

Tuna makundi naam! Manne ya binadamu leo ni hawa yellows. Wengine ni:
2. Reds
3. Greens
4. Blues

Nitawachambua mmoja mmoja.

Ila leo fahamu. Kama pale kazini kwenu unae mtu ambae ni maneno mengi, basi fahamu huyo ni Yellow.

Yellow akikaa sehemu au ofisi yake ni kama pamepigwa bomb.

Yellow anaongea sana

Yellow huwa ni muongo muongo

Yellow huwa hawezi kuipangilia siku anaweza kukumbia leo napaka rangi hili kabati na rangi keshanunua, ila ikifika saa 10 jioni utaona hata kopo la rangi halijafunguliwa!

Yellow ni janja janja kwa ufupi.

Most politicians are yellowish
Haji Manara unaitwa huku, watu wanakujadili kwa mafumbo
 
Back
Top Bottom