Leo nina hasira!

Viva89

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2012
Posts
1,262
Reaction score
530
Habari zenu wapendwa,

Yaani mimi mwenzenu leo sijui nina tatizo gani, kila mtu leo ananikasirisha, hata sielewi ni nini, sijui watu wameamua kunijaribu?!. Halafu kibaya zaidi kila kitu leo kimeenda ovyo toka asubuhi hadi sasa hivi. Yaani hasira ya almost siku nzima, yani one of those really bad days ndio am facing leo. Mungu anisaidie nilale hata na amani, au na kasmile hata kidogo.

Its a really bad Monday for me.
 
Pole sana. On the other hand I can only imagine if you were the president of some country!!
 
Moja ya njia ya kupunguza hasira ni kuwashirikisha wadau kama hivi
Naamini baada ya kuandika haya kiasi flani cha hasira kimepungua.
 
asante Mzee23 mjasiria ha haaaa!thank you for that comment, nimecheka! am guessing today wouldnt have been a good day anybody Mr Q kweli kabisa, imepungua kiasi, Fukara mmmmh, no not that
 
Last edited by a moderator:
kiwatengu mi nishafika home mwenzako, nikishaingia hadi kutoka labda dharula Charaxes hahahaa..polee kasara hm..helipelido ni nini?ebu nijuze
 
Last edited by a moderator:
inamaana bado unakaa kwenu?
afu mbona hujibu PM zangu?

si unajua under 18,..mi hata kama nikae wapi nikishaingia nyumbani aisee hadi nitoke labda iwe harusi, send off au outing ambayo imekuwa planned kabla
 
si unajua under 18,..mi hata kama nikae wapi nikishaingia nyumbani aisee hadi nitoke labda iwe harusi, send off au outing ambayo imekuwa planned kabla

kwa hiyo unashauri nini? jibu PM basi tupange outing ya maana...
 
Pole sn, 'mp' huwa na mood swings so ni kawaida usijali.
 
atoto aaaw,sipo hizo finance2014 mbona ntaenda toilet sanaa lol...ila am fine now, nishacheka weee, sio sawa kulala na hasira
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…