Leo nimezitembelea shule mbili zinazotazamana Feza Boys na ile ya Kata Kondo Sekondari sikuamini macho yangu!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,412
142,654
Shule hizi mbili ziko kata ya kunduchi katika jimbo la Kawe, Feza boys ni private na Kondo ni ya wananchi. Shule ukiziangalia huwezi kuamini kwamba wanapohitimu wanafanya mtihani mmoja!..... Yaani tofauti ya rasilimali watu, vifaa na miundombinu ni tofauti kabisa unaweza kufikiri moja iko Ulaya na nyingine Tandahimba. Nitoe wito kwa wazazi tujitahidi kuzihudumia shule zetu za Kata ili ziendane na wakati, nadhani mbunge Halima Mdee umenisikia!
 
Shule hizi mbili ziko kata ya kunduchi katika jimbo la Kawe, Feza boys ni private na Kondo ni ya wananchi. Shule ukiziangalia huwezi kuamini kwamba wanapohitimu wanafanya mtihani mmoja!..... Yaani tofauti ya rasilimali watu, vifaa na miundombinu ni tofauti kabisa unaweza kufikiri moja iko Ulaya na nyingine Tandahimba. Nitoe wito kwa wazazi tujitahidi kuzihudumia shule zetu za Kata ili ziendane na wakati, nadhani mbunge Halima Mdee umenisikia!
Lione. Umeenda kutafuta tu mada za umbea mmeishiwa na mada za mbowe hili mfurahishe na mstahereshe vijiwe vyenu vya umbea huko lumumba. M
 
Shule hizi mbili ziko kata ya kunduchi katika jimbo la Kawe, Feza boys ni private na Kondo ni ya wananchi. Shule ukiziangalia huwezi kuamini kwamba wanapohitimu wanafanya mtihani mmoja!..... Yaani tofauti ya rasilimali watu, vifaa na miundombinu ni tofauti kabisa unaweza kufikiri moja iko Ulaya na nyingine Tandahimba. Nitoe wito kwa wazazi tujitahidi kuzihudumia shule zetu za Kata ili ziendane na wakati, nadhani mbunge Halima Mdee umenisikia!
Hakuna sehemu duniani ambapo government facility kam shule na hosp zinakuwa nzuri kuliko Private one.



Hapo wito si kwa Halima kama Mbunge maana hana resources za Kufanya Kombo sec iwe sawa na Feza!....ni jukumu la Serikali. Mimi na wewe!

Zamani ilikuwa ni fedheha kwa kijana kusoma Private ila leo ni kinyume. Serikali lazima itia macho katika sekta ya Elimu
 
Hakuna sehemu duniani ambapo government facility kam shule na hosp zinakuwa nzuri kuliko Private one.



Hapo wito si kwa Halima kama Mbunge maana hana resources za Kufanya Kombo sec iwe sawa na Feza!....ni jukumu la Serikali. Mimi na wewe!

Zamani ilikuwa ni fedheha kwa kijana kusoma Private ila leo ni kinyume. Serikali lazima itia macho katika sekta ya Elimu
Amina!
 
Shule hizi mbili ziko kata ya kunduchi katika jimbo la Kawe, Feza boys ni private na Kondo ni ya wananchi. Shule ukiziangalia huwezi kuamini kwamba wanapohitimu wanafanya mtihani mmoja!..... Yaani tofauti ya rasilimali watu, vifaa na miundombinu ni tofauti kabisa unaweza kufikiri moja iko Ulaya na nyingine Tandahimba. Nitoe wito kwa wazazi tujitahidi kuzihudumia shule zetu za Kata ili ziendane na wakati, nadhani mbunge Halima Mdee umenisikia!
Hakuna sehemu duniani ambapo government facility kam shule na hosp zinakuwa nzuri kuliko Private one.



Hapo wito si kwa Halima kama Mbunge maana hana resources za Kufanya Kombo sec iwe sawa na Feza!....ni jukumu la Serikali. Mimi na wewe!

Zamani ilikuwa ni fedheha kwa kijana kusoma Private ila leo ni kinyume. Serikali lazima itia macho katika sekta ya Elimu
 
Hakuna sehemu duniani ambapo government facility kam shule na hosp zinakuwa nzuri kuliko Private one.



Hapo wito si kwa Halima kama Mbunge maana hana resources za Kufanya Kombo sec iwe sawa na Feza!....ni jukumu la Serikali. Mimi na wewe!

Zamani ilikuwa ni fedheha kwa kijana kusoma Private ila leo ni kinyume. Serikali lazima itia macho katika sekta ya Elimu
Mkuu hapa umesema neno. Sijui wenyewe wapo!
 
Lione. Umeenda kutafuta tu mada za umbea mmeishiwa na mada za mbowe hili mfurahishe na mstahereshe vijiwe vyenu vya umbea huko lumumba. M
Maendeleo hayana chama.........Kuongoza Chadema ni utume na kujitwisha Msalaba by Freeman Mbowe!
 
Lione. Umeenda kutafuta tu mada za umbea mmeishiwa na mada za mbowe hili mfurahishe na mstahereshe vijiwe vyenu vya umbea huko lumumba. M
Usipende kuweka siasa kwenye kila jambo. Alichokisema ni kweli kabisa. Serikal ifanye massive investment kwenye shule za kata ili ziwe zenye ushindani.
Kama tunatumia mtaala mmoja? Kwann private wafaulu sana kuliko gov schools?
 
Usipende kuweka siasa kwenye kila jambo. Alichokisema ni kweli kabisa. Serikal ifanye massive investment kwenye shule za kata ili ziwe zenye ushindani.
Kama tunatumia mtaala mmoja? Kwann private wafaulu sana kuliko gov schools?
Sasa kwanini mtumie hela nyingi kununua wapinzani?
 
Shule hizi mbili ziko kata ya kunduchi katika jimbo la Kawe, Feza boys ni private na Kondo ni ya wananchi. Shule ukiziangalia huwezi kuamini kwamba wanapohitimu wanafanya mtihani mmoja!..... Yaani tofauti ya rasilimali watu, vifaa na miundombinu ni tofauti kabisa unaweza kufikiri moja iko Ulaya na nyingine Tandahimba. Nitoe wito kwa wazazi tujitahidi kuzihudumia shule zetu za Kata ili ziendane na wakati, nadhani mbunge Halima Mdee umenisikia!
Naona lengo lako lilikuwa ni kumkashifu Mdee. Mpe taarifa yule aliesema Elimu bure.
 
Back
Top Bottom