Leo nimeumwa na nyuki

Leo nimeumwa na nyuki

Hivi punde

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2017
Posts
2,554
Reaction score
8,606
Acha tu hawa wadudu!

Nimepita chini ya mzinga wa nyuki nikatikisa tawi. Acha waje kwa kasi aisee. Wanang'ata huku wanapiga kelele au sijui wanashangilia..

Walijipinda mno usoni na kwenye masikio na shingoni. Wengine walikuwa wanaingia ndani ya tshirt na suluari. Nilivua nguo nikawaachia! Nilijikuna na kuchomoa visindano vyao karibu saa nzima.Nimechukua nguo na ndo nafika home ila nahisi maumivu makali sana.

Achana na nyuki aisee!

queen-cup-337695__340.jpg
 
Hahaha, pole sana iSee. Mara ya mwisho niling'atwa na nyuki nikiwa shule ya msingi.

It is such an awkward thing to experience.
 
Hahahaa maisha haya jamani unabaki unacheka tu...empty set kabisa
 
Acha tu hawa wadudu!

Nimepita chini ya mzinga wa nyuki nikatikisa tawi. Acha waje kwa kasi aisee. Wanang'ata huku wanapiga kelele au sijui wanashangilia..

Walijipinda mno usoni na kwenye masikio na shingoni. Wengine walikuwa wanaingia ndani ya tshirt na suluari. Nilivua nguo nikawaachia! Nilijikuna na kuchomoa visindano vyao karibu saa nzima.Nimechukua nguo na ndo nafika home ila nahisi maumivu makali sana.

Achana na nyuki aisee!

View attachment 714883
Pole sana hao wadudu ni hatari sana
 
Pole sana mkuu, hiyo ndio faida ya kuanzisha ugomvi wa mawe wakati unakaa kwenye nyumba ya vioo
 
Weka picha tuthibitishe, otherwise story ya changamsha genge
 
Wewe unaishi kwenye hifadhi au? Mara nyoka kaingia ndani, mara nyuki wamekufanyia kitendo.. Hamia mjini.

Nilishaacha kumchukulia serious huyu member kutokana na aina ya threads zake anazozianzisha.

Kuna post zingine anapost kama mwanaume na zingine kama mwanamke ..

Ni aina ya member wanaotafuta attention humu ndani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom