Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,606
Acha tu hawa wadudu!
Nimepita chini ya mzinga wa nyuki nikatikisa tawi. Acha waje kwa kasi aisee. Wanang'ata huku wanapiga kelele au sijui wanashangilia..
Walijipinda mno usoni na kwenye masikio na shingoni. Wengine walikuwa wanaingia ndani ya tshirt na suluari. Nilivua nguo nikawaachia! Nilijikuna na kuchomoa visindano vyao karibu saa nzima.Nimechukua nguo na ndo nafika home ila nahisi maumivu makali sana.
Achana na nyuki aisee!
Nimepita chini ya mzinga wa nyuki nikatikisa tawi. Acha waje kwa kasi aisee. Wanang'ata huku wanapiga kelele au sijui wanashangilia..
Walijipinda mno usoni na kwenye masikio na shingoni. Wengine walikuwa wanaingia ndani ya tshirt na suluari. Nilivua nguo nikawaachia! Nilijikuna na kuchomoa visindano vyao karibu saa nzima.Nimechukua nguo na ndo nafika home ila nahisi maumivu makali sana.
Achana na nyuki aisee!
