MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 12,695
- 31,486
Lipia tangazo
Itawezekanaje wakati wanawake ni zaidi ya 60% ya population?Tayari kuna michepuko mingine? Hivi wanaume bila michepuko kwani haiwezekani?
Mlimtafutia mwanamke, mkamtafutia gesti na akaenda hiyo gesti. Huyo kiongozi alikuwa mjinga sana. Kawaida mwanaume anapeleka mwanamke gesti hapelekwi..Alikuwepo kiongozi mmoja alitaka kuniweka jela kwa sababu flani na jela ningekwenda zaidi ya miaka 5. Kuna mtu akasema mwanaume anapenda ngono kuliko chochote duniani. Hasa wasichana ndio wanaume tunawapenda kwasababu ya nyama mbichi.
Yule kiongozi tuli mtengenezea mtego wa msichana wa chuo flani tukaset video tokea wame kutana mpaka wameingia chumbani. Mule kwenye chumba(gesti) tukalipa mhudumu hela defu tuweke spy camera, yule kiongozi akafanya yake. Siku ya mahakamani tukamtumia short clip ya ngono yake na yule kiongozi, akauliza nani wewe tukamjibu futa kesi leo. Au tunatuma video kamili kwa wife wako na mtandaoni.
Anapo kuja mwanamke mwenyewe bila ya wewe kumfata fikiria mara 2.
Hili swali lingejibiwa vizuri sana na nabii suleiman....Tayari kuna michepuko mingine? Hivi wanaume bila michepuko kwani haiwezekani? 😂
Mpelekee motoooWakuu,
Leo kuna binti kanifuata akasema ana jambo lake anataka kuzungumza na mimi.
Kwakua mimi huwa natoa ushauri wa kisheria basi nikajua nimepata mteja. Nikamwambia sawa ngoja nimalize shughuli tuzungumze. Sasa ananiambia kuwa ananipenda mno.
Na anataka nimpe jibu kama nimemkubali au la. Wakuu ndio kwanza nimepata katoto kadogo kana mapengo tu hata kuzungumza bado hakajui. Huyu naye ananiletea hadithi zake za mapenzi hapa naona ananichanganya tu.
Najua nikimkubalia nitaongeza mchepuko halafu niwe nalea mwanangu,mama yake,mimi, mchepuko namba moja ,mchepuko namba mbili na yeye pia.
Familia yangu itakua kubwa sana.
Hako katombe tu halafu piga chiniWakuu,
Leo kuna binti kanifuata akasema ana jambo lake anataka kuzungumza na mimi.
Kwakua mimi huwa natoa ushauri wa kisheria basi nikajua nimepata mteja. Nikamwambia sawa ngoja nimalize shughuli tuzungumze. Sasa ananiambia kuwa ananipenda mno.
Na anataka nimpe jibu kama nimemkubali au la. Wakuu ndio kwanza nimepata katoto kadogo kana mapengo tu hata kuzungumza bado hakajui. Huyu naye ananiletea hadithi zake za mapenzi hapa naona ananichanganya tu.
Najua nikimkubalia nitaongeza mchepuko halafu niwe nalea mwanangu,mama yake,mimi, mchepuko namba moja ,mchepuko namba mbili na yeye pia.
Familia yangu itakua kubwa sana.
Ndo mtueleze kwa nini mnakubali kuwa michepukoTayari kuna michepuko mingine? Hivi wanaume bila michepuko kwani haiwezekani?
Aah hapana hatupendi kuwa michepuko ila sometimes nyie hamsemi ukweli mnapomtongoza mtu, unamwambia upo single kumbe una familia na watoto 7, mna dhambi sana nyie 😀Ndo mtueleze kwa nini mnakubali kuwa michepuko