Duh tangu 2007 yaani leo ndo natimiza posts buku 3. Nimeona mengi sana tangia kitambo hicho cha JamboForums, nimesoma mada nyingi sana...God is always Great!!
Tuko pamoja sana!!
Sure man...am happy today!!safi sana hongera, unaweza ukawa na post nyingi lkn hazina msingi.
Haya bana, I knw 1 day utatimiza tu...thanx!!Hongera zako na sisi tuko NYUMA yako.
Hahaaaahaa...kijiwe gani hicho?? najua itakuwa bia tu...lolok. Hongera. Uje kesho kijiweni uchukue zawadi yako.
Thanx mkuu...welcomeHongera mkuu!
Hahaaaa I knw those people..yaani we acha tu, nadhani wanakesha JFHongera Mkuu. Wewe ndio G.T. Kama aliyenitangulia kusema, kuna watu wamejiunga miezi miwili tu lakini wana post zaidi ya elfu tatu. Big up.
Hahaaaaa, ukute wana kazi bt wamekuwa addicted tu, so always time is money lakini member wa dizain hiyo..sijui tuwaweke kundi gani...! 1months post 4000+ lolafadhali wewe, safi sana... kuna watu hapa anaingia january-february ana post 3000 tayari... sijui hawafanyi kazi zingine?
Ngoja niuwashe kwanza, manake ulizimikaMazee hongera puliza basi mshumaa !
afadhali wewe, safi sana... kuna watu hapa anaingia january-february ana post 3000 tayari... sijui hawafanyi kazi zingine?