Wakuu nipo Addis Ababa, hapa nimekuja kumtembelea shemeji/wifi yenu, walahi nawaambia sikutegemea wala sikufikiria kukuta maendeleo kama haya.
Jiji limejipanga hata flyovers za kueleweka, halafu kuna hizi treni sijui za umeme manake nashindwa hata niwaelezeje, wenzetu National Housing zao zipo za watu wa hali ya chini pia.
Jamani Addis Ababa ni shughuli nyingine.
Jiji safi sana, aise hivi Tanzania imekosa nini hadi kila kitu kishindikane?
Picha zinakuja soon.
Sawa lakini swali ni kwamba watakukubali?
mkuu wakina masai dada wakikusikia wanaweza kupanik sana
Kwani ni mara ya kwanza natembea na mademu wa Ethiopia?
Unaweza kusema unavyotaka na kujiridhisha lkn ninavyojua hawawezi kukubali labda wale malaya wakujiuza na tena watakuchaji hele nyingi zaidi!
Dah nabii suleiman alifaidi kweli!! Wake 700 na masuria 1000!! Kila siku alikuwa anapiga wangapi!! Dah kweli alikula mema ya nchi..Nimefanya nao kazi Bahrain 2010 yaani wana urembo wa asili na hata ktk vitabu vitakatifu wamo,mfalme suleimani alishindwa kuvumilia alichanganyikiwa!akawaoa kwa fujo!
Hahahaaah,,,,,,,dogo ni noma huko. Hayo mambo yako nadhani wewe tutakupoteza ukitia maguu huko. Jamaa yako alinipeleka mitaa kuliko na hivyo vifaa, ni noma.
Natamani niwe chatu niwameze... Hii picha unaweza kuiangalia siku nzima bila hata kupepesa macho pembeni.. Katavi nawewe si upo huko? Leta mambo
Kweli aisee, Addis panapendeza sana, kuna kiwanja nilipita nikaambiwa kuna watalii kutoka ulaya wanaenda hapo kwa kazi ya kufanya mapenzi tu na kuwatazama mabinti wa kiethiopia.we huna nia nzuri na mwenzio,yeye kasema anataka wadada wa Addis kachoka na dada zetu wa CBE,hata ukija mademu wapo tu tena wanashoboka sana kwa foreigners,mi isingekuwa shemej yenu basi ningechapa hata zaidi ya kumi
Gharama na taratibu za kufika huko zikoje ili tukapazuru????
Naomba unipatie full information za visa, nauli, hotels na yote yanayohusiana na safari ili nijipange ikiwezekana nitie timu mwezi ujao.
Thanks
Maneno matupu hayavunji mfupa, picha mbona hutumi zaidi ya kusifia, sana sana wengine ndio wanakusaidia kutuma, tunataa pich zako unazotuma LIVE
Kwa kweli wanavutia....ntaenda hata kwa baiskeli...kama yule chalii wa Arusha anazunguka dunia kwa baiskeli mi ntashindwa hapo Ethiopia tu? Najua ntapata tabu njiani ila reward yake nikifika ntasahau shida na mimba zitatungwa...Hahahaaah,,,,,,,dogo ni noma huko. Hayo mambo yako nadhani wewe tutakupoteza ukitia maguu huko. Jamaa yako alinipeleka mitaa kuliko na hivyo vifaa, ni noma.
Picha tu inakupagawisha, je ukiwaona laivu........!!!
hahahaha kelele nyingi humu kumbe we ni mshamba hivi asee.. Hata leggins huzijui??
Kama demu/mke wako hakuvalii angalia hata porn basi utaona wale pornstars wanazipenda sana hizo
Natamani niwe chatu niwameze... Hii picha unaweza kuiangalia siku nzima bila hata kupepesa macho pembeni.. Katavi nawewe si upo huko? Leta mambo
Weka ushahidi kuthibitisha kama wamevaa leggins.
Wakuu nipo Addis Ababa, hapa nimekuja kumtembelea shemeji/wifi yenu, walahi nawaambia sikutegemea wala sikufikiria kukuta maendeleo kama haya.
Jiji limejipanga hata flyovers za kueleweka, halafu kuna hizi treni sijui za umeme manake nashindwa hata niwaelezeje, wenzetu National Housing zao zipo za watu wa hali ya chini pia.
Jamani Addis Ababa ni shughuli nyingine.
Jiji safi sana, aise hivi Tanzania imekosa nini hadi kila kitu kishindikane?
Picha zinakuja soon.
Watu kwa mbwembwe hamjambo, usikute hapo hata chai hujanywa na nauli ya kutoka mbagala kwenda ubungo tu ni mpaka usubiri mjomba aje halafu unataka kwenda ethiopia.
Ha Ha Ha Falcon Mombasa Umeleta Mambo hapa. Ukweli wenzetu wana nidhamu ya kazi , kuanzia cheo cha juu mpaka wagfagizi. Customre Care wanajitahidi(Mi nilikuwa huko May). Wahudumu wa hotel wana nidhamu na kukuchangamkia kwa kweli. Wakikuona unashangaa shangaa wanakuuliza kama una shida gani ( pamoja na kuwa si kwamba wanafahamu saana Kiingereza) kwa kweli jamani Customer care Tanzania tunatia aibu. Halafu jinsi wanavyomjua Mwl. Nyerere ( tena vijana tu) nilishangaa wakati huku sisi baadhi ya vijana wala hawaijui Historia yake!Mkuu usinifanye nichukue mkopo FINCA leo hii😕