The Garang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 2,890
- 4,865
- Thread starter
- #61
Asante ndugu yanguPole sana, yote ni maisha...
Asante ndugu yanguPole sana, yote ni maisha...
Hako ka-Manka ni kafala sana mimi hadi sahivi ninayo namba yake sahivi hakajibu sms zangu.
apple langu na chocolate kamekula sasa nasema hiviiii nitakaloga kapumbavu kabisa
sema hakajui kuvaa umedanganya
ila kako first year


we dogo hakuna nguo inamkataaa yulee hata avae guniaakaribu sanaNimeipenda hii.
sijawahi penda kiasi hicho nifikie hatua ya kutoa uhai.Someni kwanza ndio maana mnanyongana
daaah we jamaa mbona kama unamjuaa hivi ni fundikira na ntare ndo maeneo yake, unaweza guess initial ya first name yakeHako kademu nilikutana nacho Samora hall ila kanapenda kusomea fundikira jioni
asije akakuvurigia ratiba zako bureLete namba nikusaidie nitakuletea chumbani kabisa

nipe na wako piaaJipe moyo
ahaha hakuna cha pekeyako kaka, nasie tunataka vinavyotakwa na wengiAchana na demu wangu kijana![]()
acha uvivu weweeHauna summary yake??
KaligraphMWISHO
Juzi kati nikamtext hakunijibu nkajifafiji kwa kuwa nimemtext kwa simu ndogo kuna muda huwa kanajaaa sms ,zikijaa ukijafuta sms za saa 2 zinafika saa 7 huko. Lakini wapi binti yule hakunijibu bwana weeee.
Jamaa yangu ambae nimemtaja huko juu kaacha chuo baada ya kuona mambo ni magumu na anamitikasi yakumuingizia pesa home, jana akanitafuta katika kuchati nikamtania kwa kumuita baba Manka akacheka kuwa mbona huyo ni wako nimekuachia ,nikamiambia yote akasema kama hajibu sms kawaida kwa wadada , akaanza nae kunipa wosia.
1.Mdada kama yule kwanza anafatwa na wengi alafu hataki kuonekana ni mrahici mtamuona malaya, nikasema may be hio ni sababu.
2.Akanambia yeye alifeli baada ya kujikuta star, kwamba hataki kugharamia kama kumcheki cheki kila mara Manka na vitu vingine, nkamuuliza kama kala tayari akanambia hapana, nikafurahk.
3.Nijaribu kumtoaa hata out au nimualike hata dinner or nimpelekee hata vi chocolate wadada wanapenda sana na sio kumuambia habari za kwenda kucheki mpira sijui
4.Akanambja kuwa na akili usioteze sana muda wako kwake. Mazungumzo yakaisha jamaa akaenda mpirani.
Nikachakata chakatua kama ngoma ya Kiba, kusema nimtoe out kiukweli kifedha muda huu boom bado nashindia mlo mmoja kwa siku nikaona nitafeli nikijiingiza kwenye gharama zisizo na lazima na kuna kipindi nilimchana huyu Manka ,mie nakupenda ila hela sina nahic hapa napo nilijishushia pointi kabisa kwa mtoto yule wa kishua, nikaona may be nifanye last attempt Leo nione atarespond vipi kwa kumtext hizo outing hapana labda apelekewe chocolate tu.
Leo tulikuwa na test, nime delay kwenda nikafika formation zishapangwa watu na watu wao wa kuponea, ile naingiaa paaap class namuona binti kakaaa nyuma kuliaa akaniangalia nkamuangalia then tukapotezeana ikabidi nikakae mbele kabisa. Paper imekuja simple nikapiga chaap nikakusanya.
Nimeenda room nkaona nijifanye kama naulizia hali yake ya kukohoa maana hata jamaa tajwa hapo juu alinambia ni mgonjwa kifua huwa kinamzingua, nikatext mambo Manka, vp unaendeleaje na kikohoz. Sikupokea reply kwenye namba yake ikaja badaee namba ngeni ikanijibu poa vp, nikamuuliza we ni manka ndo hadi saiv sijajibiwa lolote.
Kiufupi haka ka binti ka model nimekapenda aisee kapo simple sana kana mapigo mazuri kanajua kutupiaa lakini kanisumbua sana nimejaribu kujiweka karibu naye lakini wapii imeshindikana.
Nimempa siku 2 awe amejibu sms asipojibu ntajua hapa sitakiwi tena na nina lazimisha mambo ,hapo nafuta namba na chatings zote I hope sitomkumbuka.
Naombeni mniombee katika hili wana JF.
Wale mnaoulizia kuhusu umri wangu nakaribia 25 soon na wale mtao comment kuhusu kusoma ,kusoma nasoma sana lakini haya mambo mengine yanakuja automatically.
View attachment 1807513
mtamlaumu Sam wa watu ndugu yangu, jamaa anaupiga mwingi sana kwenye kitabu yuleSasa Samwel hiki ndio nikichokutuma chuo jpili uje tukae kikao na ndugu zako wote shezii
hadi namba yake ninayo mzee hako kademu kamenitesa sana mimi hakajibu text zangu ila huu uzi wako umenipa motodaaah we jamaa mbona kama unamjuaa hivi ni fundikira na ntare ndo maeneo yake, unaweza guess initial ya first name yake
ahaha we jamaaa ntajie rafiki yake anaitwa nan basi au hostel anayoishihadi namba yake ninayo mzee hako kademu kamenitesa sana mimi hakajibu text zangu ila huu uzi wako umenipa moto
naanza kukatongoza rasmi sasa au unataka nikutajie kozi yake kabisa
ila kapeleke Cafteria pale siku mbili tatu hakatachomoa
vipi unaonaje niendelee kuzichanga karata au nipoteeeHuyo manka namfahamu aiseee..
umeongea point sana kaka,kuna jamaa ashawahi sema kwenye uzi fulani kuwa kudate na Hawa under 25 ni balaaa bora abive kidogo washaupiga mwingi sasa wanaamua kusettle. Nimekupata kaka yangu ,asante.Mdogo wangu huko uliko chuo endelea kusoma,ikiwezekana fanya ujasiliamali ukiwa huko chuo. Hawa wanafunzi wa chuo wako miaka 18-26 hivi, kundi hili litakusumbua. wana wapenzi wengi walio waume za watu na ndiowanao wazuzua, wewe wanakuona kituko.
Ukiisha zipata fedha zako,watakuja wenyewe. Naam ndio muda wako na wewe wa kutumia na kuacha.
25 hapana hujafikaMWISHO
Juzi kati nikamtext hakunijibu nkajifafiji kwa kuwa nimemtext kwa simu ndogo kuna muda huwa kanajaaa sms ,zikijaa ukijafuta sms za saa 2 zinafika saa 7 huko. Lakini wapi binti yule hakunijibu bwana weeee.
Jamaa yangu ambae nimemtaja huko juu kaacha chuo baada ya kuona mambo ni magumu na anamitikasi yakumuingizia pesa home, jana akanitafuta katika kuchati nikamtania kwa kumuita baba Manka akacheka kuwa mbona huyo ni wako nimekuachia ,nikamiambia yote akasema kama hajibu sms kawaida kwa wadada , akaanza nae kunipa wosia.
1.Mdada kama yule kwanza anafatwa na wengi alafu hataki kuonekana ni mrahici mtamuona malaya, nikasema may be hio ni sababu.
2.Akanambia yeye alifeli baada ya kujikuta star, kwamba hataki kugharamia kama kumcheki cheki kila mara Manka na vitu vingine, nkamuuliza kama kala tayari akanambia hapana, nikafurahk.
3.Nijaribu kumtoaa hata out au nimualike hata dinner or nimpelekee hata vi chocolate wadada wanapenda sana na sio kumuambia habari za kwenda kucheki mpira sijui
4.Akanambja kuwa na akili usioteze sana muda wako kwake. Mazungumzo yakaisha jamaa akaenda mpirani.
Nikachakata chakatua kama ngoma ya Kiba, kusema nimtoe out kiukweli kifedha muda huu boom bado nashindia mlo mmoja kwa siku nikaona nitafeli nikijiingiza kwenye gharama zisizo na lazima na kuna kipindi nilimchana huyu Manka ,mie nakupenda ila hela sina nahic hapa napo nilijishushia pointi kabisa kwa mtoto yule wa kishua, nikaona may be nifanye last attempt Leo nione atarespond vipi kwa kumtext hizo outing hapana labda apelekewe chocolate tu.
Leo tulikuwa na test, nime delay kwenda nikafika formation zishapangwa watu na watu wao wa kuponea, ile naingiaa paaap class namuona binti kakaaa nyuma kuliaa akaniangalia nkamuangalia then tukapotezeana ikabidi nikakae mbele kabisa. Paper imekuja simple nikapiga chaap nikakusanya.
Nimeenda room nkaona nijifanye kama naulizia hali yake ya kukohoa maana hata jamaa tajwa hapo juu alinambia ni mgonjwa kifua huwa kinamzingua, nikatext mambo Manka, vp unaendeleaje na kikohoz. Sikupokea reply kwenye namba yake ikaja badaee namba ngeni ikanijibu poa vp, nikamuuliza we ni manka ndo hadi saiv sijajibiwa lolote.
Kiufupi haka ka binti ka model nimekapenda aisee kapo simple sana kana mapigo mazuri kanajua kutupiaa lakini kanisumbua sana nimejaribu kujiweka karibu naye lakini wapii imeshindikana.
Nimempa siku 2 awe amejibu sms asipojibu ntajua hapa sitakiwi tena na nina lazimisha mambo ,hapo nafuta namba na chatings zote I hope sitomkumbuka.
Naombeni mniombee katika hili wana JF.
Wale mnaoulizia kuhusu umri wangu nakaribia 25 soon na wale mtao comment kuhusu kusoma ,kusoma nasoma sana lakini haya mambo mengine yanakuja automatically.
View attachment 1807513
Nipe namba PM mkuu wanaume kusaidiana,watoto wa Uhasibu hapo nawaweza sana...asije akakuvurigia ratiba zako bure![]()