Leo nimekutana na mwanamke ana miaka 10 hajatongozwa

music mimi

JF-Expert Member
Jun 16, 2013
441
758
Nilikuwa nimekaa sehemu ya kificho kidogo, sasa kuna demu alikuwa anaongea na simu. Kwa kuwa hakuniona alikuwa anajiachia tu alikuwa anaongea kwa hisia sana.

Maneno ambayo mpaka sasa yamekaa kwenye kichwa changu na nisiamini kama inawezekana ni
" Ustaaz nna miaka 10 sijatongozwa"

"Nikitaka mwanaume inabidi nimtongoze mimi na wengine wananipotezea"

Kwa kuwa tulipeana mgongo, ilibidi nianze kupambana nione huyu mtu anamuonrkano gani. Huwezi amini ni dada mzuri, umri ni kama miaka 28-34 hapo. Mweupe mfupi kidogo ila ana haiba ya pwani.

Hii kitu imenishangaza sana sana kumbe kuna wanawake hawatongozwi!? Kama unapitia changamoto kama hiyo do something, ni tatizo kubwa sana mwanamke kukosa mvuto.

Usipotongozwa maana yake hauna mvuto, watu hawakuoni, nyota yako imekufa. Pambana urudishe nuru kwa kuwa mwanamke au binadamu kwa ujumla ni mvuto, bila mvuto wewe ni kasha tu. Nyota ndio inaleta kila kitu.
 
Ndio umeyasikia...
Hivi ni lazima sanaaa, Bado mdogo huyo sio kibibi.

Ni sala inamuhusu.. ungemshauri.
Kuna ile tu mtu aonyeshe interest hata kama haumkubalii ila just kupata feedback kuwa watu wanaona nafaa...sasa kama kimya kabisa ni hali inayotisha.

Mimi nilishindwa kumshauri kwa kuwa simjui na aliyekuwa anaongea nae ni kama mtaalam wa tiba na mambo ya kiroho so alikuwa anamwelezea ampe msaada
 
Hiyo haipo labda kama unatangaza mambo ya nyota....
Uyo mtu...bodaboda hawamuoni?
Najua huwezi amini ila nachokwambia ni uhalisia.

Mamangu afe kesho kama nimedanganya, nilichokwambia ndio nilichokisikia ndio maana ile sauti bado naiskia toka saa 6 mchama nimeona hilo tukio. Hata mm nilibaki najiuiza inawezekana vipi
 
Najua huwezi amini ila nachokwambia ni uhalisia.
Mamangu afe kesho kama nimedanganya, nilichokwambia ndio nilichokisikia ndio maana ile sauti bado naiskia toka saa 6 mchama nimeona hilo tukio. Hata mm nilibaki najiuiza inawezekana vipi
Hehehee aya sawa...picha ingekuwepo tungemaliza ubishi..ila acha tuamini tu
 
Nilikuwa nimekaa sehemu ya kificho kidogo, sasa kuna demu alikuwa anaongea na simu. Kwa kuwa hakuniona alikuwa anajiachia tu alikuwa anaongea kwa hisia sana.

Maneno ambayo mpaka sasa yamekaa kwenye kichwa changu na nisiamini kama inawezekana ni
" Ustaaz nna miaka 10 sijatongozwa"

"Nikitaka mwanaume inabidi nimtongoze mimi na wengine wananipotezea"

Kwa kuwa tulipeana mgongo, ilibidi nianze kupambana nione huyu mtu anamuonrkano gani. Huwezi amini ni dada mzuri, umri ni kama miaka 28-34 hapo. Mweupe mfupi kidogo ila ana haiba ya pwani.

Hii kitu imenishangaza sana sana kumbe kuna wanawake hawatongozwi!? Kama unapitia changamoto kama hiyo do something, ni tatizo kubwa sana mwanamke kukosa mvuto.

Usipotongozwa maana yake hauna mvuto, watu hawakuoni, nyota yako imekufa. Pambana urudishe nuru kwa kuwa mwanamke au binadamu kwa ujumla ni mvuto, bila mvuto wewe ni kasha tu. Nyota ndio inaleta kila kitu.
Mtu mwenyewe anaongea na ustadhi heti hajatongozwa! Maustadhi wenyewe ndo ahoooh!!!
 
Nilikuwa nimekaa sehemu ya kificho kidogo, sasa kuna demu alikuwa anaongea na simu. Kwa kuwa hakuniona alikuwa anajiachia tu alikuwa anaongea kwa hisia sana.

Maneno ambayo mpaka sasa yamekaa kwenye kichwa changu na nisiamini kama inawezekana ni
" Ustaaz nna miaka 10 sijatongozwa"

"Nikitaka mwanaume inabidi nimtongoze mimi na wengine wananipotezea"

Kwa kuwa tulipeana mgongo, ilibidi nianze kupambana nione huyu mtu anamuonrkano gani. Huwezi amini ni dada mzuri, umri ni kama miaka 28-34 hapo. Mweupe mfupi kidogo ila ana haiba ya pwani.

Hii kitu imenishangaza sana sana kumbe kuna wanawake hawatongozwi!? Kama unapitia changamoto kama hiyo do something, ni tatizo kubwa sana mwanamke kukosa mvuto.

Usipotongozwa maana yake hauna mvuto, watu hawakuoni, nyota yako imekufa. Pambana urudishe nuru kwa kuwa mwanamke au binadamu kwa ujumla ni mvuto, bila mvuto wewe ni kasha tu. Nyota ndio inaleta kila kitu.
Katupiwa jini kimavi, huyo lazima ale sana matango na ndizi macharari kwa wingi kwa kupitia mdomo wa kuijaza nchi.

Pia majini mahaba yabawaharibia sana maisha ya mahusiano dada zetu
 
Nilikuwa nimekaa sehemu ya kificho kidogo, sasa kuna demu alikuwa anaongea na simu. Kwa kuwa hakuniona alikuwa anajiachia tu alikuwa anaongea kwa hisia sana.

Maneno ambayo mpaka sasa yamekaa kwenye kichwa changu na nisiamini kama inawezekana ni
" Ustaaz nna miaka 10 sijatongozwa"

"Nikitaka mwanaume inabidi nimtongoze mimi na wengine wananipotezea"

Kwa kuwa tulipeana mgongo, ilibidi nianze kupambana nione huyu mtu anamuonrkano gani. Huwezi amini ni dada mzuri, umri ni kama miaka 28-34 hapo. Mweupe mfupi kidogo ila ana haiba ya pwani.

Hii kitu imenishangaza sana sana kumbe kuna wanawake hawatongozwi!? Kama unapitia changamoto kama hiyo do something, ni tatizo kubwa sana mwanamke kukosa mvuto.

Usipotongozwa maana yake hauna mvuto, watu hawakuoni, nyota yako imekufa. Pambana urudishe nuru kwa kuwa mwanamke au binadamu kwa ujumla ni mvuto, bila mvuto wewe ni kasha tu. Nyota ndio inaleta kila kitu.
Waswahili wanasema ukiyastaajibia ya Musa utayaona ya Firauni. FaizaFoxy alianzisha uzi wa Kuwaita vijana wahuni wakamtongoze
 
Nilikuwa nimekaa sehemu ya kificho kidogo, sasa kuna demu alikuwa anaongea na simu. Kwa kuwa hakuniona alikuwa anajiachia tu alikuwa anaongea kwa hisia sana.

Maneno ambayo mpaka sasa yamekaa kwenye kichwa changu na nisiamini kama inawezekana ni
" Ustaaz nna miaka 10 sijatongozwa"

"Nikitaka mwanaume inabidi nimtongoze mimi na wengine wananipotezea"

Kwa kuwa tulipeana mgongo, ilibidi nianze kupambana nione huyu mtu anamuonrkano gani. Huwezi amini ni dada mzuri, umri ni kama miaka 28-34 hapo. Mweupe mfupi kidogo ila ana haiba ya pwani.

Hii kitu imenishangaza sana sana kumbe kuna wanawake hawatongozwi!? Kama unapitia changamoto kama hiyo do something, ni tatizo kubwa sana mwanamke kukosa mvuto.

Usipotongozwa maana yake hauna mvuto, watu hawakuoni, nyota yako imekufa. Pambana urudishe nuru kwa kuwa mwanamke au binadamu kwa ujumla ni mvuto, bila mvuto wewe ni kasha tu. Nyota ndio inaleta kila kitu.
Wivu
FB_IMG_1693875408281.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom