Leo nimekutana na mwanamke ana miaka 10 hajatongozwa

Nilikuwa nimekaa sehemu ya kificho kidogo, sasa kuna demu alikuwa anaongea na simu. Kwa kuwa hakuniona alikuwa anajiachia tu alikuwa anaongea kwa hisia sana.

Maneno ambayo mpaka sasa yamekaa kwenye kichwa changu na nisiamini kama inawezekana ni
" Ustaaz nna miaka 10 sijatongozwa"

"Nikitaka mwanaume inabidi nimtongoze mimi na wengine wananipotezea"

Kwa kuwa tulipeana mgongo, ilibidi nianze kupambana nione huyu mtu anamuonrkano gani. Huwezi amini ni dada mzuri, umri ni kama miaka 28-34 hapo. Mweupe mfupi kidogo ila ana haiba ya pwani.

Hii kitu imenishangaza sana sana kumbe kuna wanawake hawatongozwi!? Kama unapitia changamoto kama hiyo do something, ni tatizo kubwa sana mwanamke kukosa mvuto.

Usipotongozwa maana yake hauna mvuto, watu hawakuoni, nyota yako imekufa. Pambana urudishe nuru kwa kuwa mwanamke au binadamu kwa ujumla ni mvuto, bila mvuto wewe ni kasha tu. Nyota ndio inaleta kila kitu.
Mbona hukumsaidia?!
 
Nilikuwa nimekaa sehemu ya kificho kidogo, sasa kuna demu alikuwa anaongea na simu. Kwa kuwa hakuniona alikuwa anajiachia tu alikuwa anaongea kwa hisia sana.

Maneno ambayo mpaka sasa yamekaa kwenye kichwa changu na nisiamini kama inawezekana ni
" Ustaaz nna miaka 10 sijatongozwa"

"Nikitaka mwanaume inabidi nimtongoze mimi na wengine wananipotezea"

Kwa kuwa tulipeana mgongo, ilibidi nianze kupambana nione huyu mtu anamuonrkano gani. Huwezi amini ni dada mzuri, umri ni kama miaka 28-34 hapo. Mweupe mfupi kidogo ila ana haiba ya pwani.

Hii kitu imenishangaza sana sana kumbe kuna wanawake hawatongozwi!? Kama unapitia changamoto kama hiyo do something, ni tatizo kubwa sana mwanamke kukosa mvuto.

Usipotongozwa maana yake hauna mvuto, watu hawakuoni, nyota yako imekufa. Pambana urudishe nuru kwa kuwa mwanamke au binadamu kwa ujumla ni mvuto, bila mvuto wewe ni kasha tu. Nyota ndio inaleta kila kitu.
Hiyo ipo mbona Kuna mmoja alikua around 17-19, black beauty flan hivi wa ukweli.kuna dei akaenda kwa bibi(mganga)kumwambia amsaidie mana hajawahi kutongozwa tangu azaliwe hadi anamaliza form 4.(niliambiwa hili na mjukuu wa bibi alikua mwanangu).
Tulishangaa ila bibi alisababishaga yule binti aliolewa kabisa.It was 2014
 
Nilikuwa nimekaa sehemu ya kificho kidogo, sasa kuna demu alikuwa anaongea na simu. Kwa kuwa hakuniona alikuwa anajiachia tu alikuwa anaongea kwa hisia sana.

Maneno ambayo mpaka sasa yamekaa kwenye kichwa changu na nisiamini kama inawezekana ni
" Ustaaz nna miaka 10 sijatongozwa"

"Nikitaka mwanaume inabidi nimtongoze mimi na wengine wananipotezea"

Kwa kuwa tulipeana mgongo, ilibidi nianze kupambana nione huyu mtu anamuonrkano gani. Huwezi amini ni dada mzuri, umri ni kama miaka 28-34 hapo. Mweupe mfupi kidogo ila ana haiba ya pwani.

Hii kitu imenishangaza sana sana kumbe kuna wanawake hawatongozwi!? Kama unapitia changamoto kama hiyo do something, ni tatizo kubwa sana mwanamke kukosa mvuto.

Usipotongozwa maana yake hauna mvuto, watu hawakuoni, nyota yako imekufa. Pambana urudishe nuru kwa kuwa mwanamke au binadamu kwa ujumla ni mvuto, bila mvuto wewe ni kasha tu. Nyota ndio inaleta kila kitu.
Uongo, una evidence gani hajatongozwa?
 
Nilikuwa nimekaa sehemu ya kificho kidogo, sasa kuna demu alikuwa anaongea na simu. Kwa kuwa hakuniona alikuwa anajiachia tu alikuwa anaongea kwa hisia sana.

Maneno ambayo mpaka sasa yamekaa kwenye kichwa changu na nisiamini kama inawezekana ni
" Ustaaz nna miaka 10 sijatongozwa"

"Nikitaka mwanaume inabidi nimtongoze mimi na wengine wananipotezea"

Kwa kuwa tulipeana mgongo, ilibidi nianze kupambana nione huyu mtu anamuonrkano gani. Huwezi amini ni dada mzuri, umri ni kama miaka 28-34 hapo. Mweupe mfupi kidogo ila ana haiba ya pwani.

Hii kitu imenishangaza sana sana kumbe kuna wanawake hawatongozwi!? Kama unapitia changamoto kama hiyo do something, ni tatizo kubwa sana mwanamke kukosa mvuto.

Usipotongozwa maana yake hauna mvuto, watu hawakuoni, nyota yako imekufa. Pambana urudishe nuru kwa kuwa mwanamke au binadamu kwa ujumla ni mvuto, bila mvuto wewe ni kasha tu. Nyota ndio inaleta kila kitu.
Kwani watu bado wanatongozana ?
 
Kwa kweli kuna watu wana changamoto aiseee. mtu anaweza vipi kuishi bila kuambiwa nakupenda.
Sio mtu mkuu, mwanamke. Mwanaume inawezekana vizuri tu.

Ila mwanamke kutotongozwa aisee inaleta ukakasi na wanakuaga na mawazo sana..

Ila sometimes pia sio kitu kibaya ni vile wewe umejiweka. Ukiwa mvaa hovyo hata uwe na sura mbovu namna gani utatongozwa kila leo maana kila mtu atahisi wewe ni cheap na mpenda pesa tu. Ukiwa unavaq kwa staha utapunguza mitongozo, wanaume wengi watakugwaya na wengine hawatakutaman haraka.

Hilo huyo wa 30yrs kuna tatizo mahala.
 
Alizidisha chumvi kwa huyo Ustadh ili apewe dawa yenge nguvu kubwa.
Najua huwezi amini ila nachokwambia ni uhalisia.

Mamangu afe kesho kama nimedanganya, nilichokwambia ndio nilichokisikia ndio maana ile sauti bado naiskia toka saa 6 mchama nimeona hilo tukio. Hata mm nilibaki najiuiza inawezekana vipi
 
Back
Top Bottom