Jumong S
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 7,427
- 10,749
Leo nimetembelea Vetrix kwa bwana mmoja mfuga nyoka, jamaa ana varieties of snakes na wapo wa utalii na waliokomaa huwavuna kwa ajili ya chakula, dawa na uuzaji wa sumu. Basi tuliingia mgahawa wake baada ya utalii, tukaelekea banda la kuchagua kitoweo na tulimchagua laddar snake.
Aisee walikaangwa, na tukaletewa. Walipowekwa kwa sahani huwezi amini kama ni nyoka. Ni watamu kama samaki aina ya kibua na so nutritious. Ni mara ya kwanza kula nyoka, but real watamu.
Ushauri: Watanzania badala ya kuwaua nyoka ni vizuri tuwafuge kwa ajili ya kitoweo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee walikaangwa, na tukaletewa. Walipowekwa kwa sahani huwezi amini kama ni nyoka. Ni watamu kama samaki aina ya kibua na so nutritious. Ni mara ya kwanza kula nyoka, but real watamu.
Ushauri: Watanzania badala ya kuwaua nyoka ni vizuri tuwafuge kwa ajili ya kitoweo.
Sent using Jamii Forums mobile app