Bora uhache kabla haijaleta balaaBaada ya kuwa nachepuka kwa muda mrefu leo nahacha lasmi na mke wangu naomba anisamehe leo nikiwa guest tena na mke wa mtu roho imeniuma sana nikawaza inakuaje kama ni mke wangu akifanyiwa ivo nikaisi nitaumia sana afu kingine yule mke wa mtu ana mimba ambayo hana uhakika kama niya jamaa ake au ya kwangu ivo imeniuma zaidi baada ya kuwaza jamaa anaweza kulea mtoto asiye wake .nimemwambia mazoea sitaki tena japo hajakubali lkn ndo ivo nafsi inanisuta
Sent using Jamii Forums mobile app
na ndo toto litoke copyright na wewe.Mimba atamwambia jamaa niyake lkn itaniuma zaidi kama itakua yangu afu jamaa ashikishwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuhacha=Kuacha

Mhhhh!!!Mwanaume anayejitambua huwa hachepuki.
A real man always focus on struggling for betterment of his family, and he always think about his wife, and children.
Wewe ni miongoni mwa wanaume wenye ZIPU mbovu, haifungi. Subiri Karma.
Nipo jf kwa miaka mingi inawezekana ulikua kijijini badoBado naendelea kusisitiza....
Hizi ID zilizo anzia May 2017 ni janga la jf
Mbunye haijawahi kumuacha mtu salamaHivi mkuu ukishakojoa kwa mchepuko unajiona mshindi? Fala ? Au mpuuzi fulani hivi mbunye ina mcontrol? Wenzio wanafanya kazi we upo unakatikia uke halafu utasema maisha magumu![]()
KabisaMbunye haijawahi kumuacha mtu salama
Kuna wanawake hawana soni wala aibu... Yani atakufanyia vimbwanga vyote...Sometimes sisi wanawake wenyewe ndo tunajiweka kihasara hasara kwa wame za watu... Wengine no way ni kukukula tyu..
Hapa kazini mtaani nimeshuhudia sana..
Mahondaw wa Smart911