Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,985
- 189,557
Mchepuko sio dili mkuu.
Safi sana kwa uamuzi wa busara.
Safi sana kwa uamuzi wa busara.
Na yeye mkewe huko alipo anabadilisha uzoefu na mwanaume wa mtu piaKama uko na mke wa mtu hapo hauchepuki ni mnabadilishana uzoefu.
Na yeye mkewe huko alipo anabadilisha uzoefu na mwanaume wa mtu pia
Pole sana jitahidi utubu kwa Mungu utapata njia ya kweli kuachana na hiyo tabia ngumu ya kuchepuka. Sisi wote si wakamilifu mbele za Mungu sali sana ndugu
Sent using Jamii Forums mobile app

Mwanaume anayejitambua huwa hachepuki.
A real man always focus on struggling for betterment of his family, and he always think about his wife, and children.
Wewe ni miongoni mwa wanaume wenye ZIPU mbovu, haifungi. Subiri Karma.
Dhuluma hii lazima ulipwe hapa hapa duniani kwa kuziniwa mkeo hii ni ahadi ya mungu kwa waja wake na hakika ataziniwa kabla hujafa jiandae kupokea mrejesho wa dhambi zakoBaada ya kuwa nachepuka kwa muda mrefu leo nahacha lasmi na mke wangu naomba anisamehe leo nikiwa guest tena na mke wa mtu roho imeniuma sana nikawaza inakuaje kama ni mke wangu akifanyiwa ivo nikaisi nitaumia sana afu kingine yule mke wa mtu ana mimba ambayo hana uhakika kama niya jamaa ake au ya kwangu ivo imeniuma zaidi baada ya kuwaza jamaa anaweza kulea mtoto asiye wake .nimemwambia mazoea sitaki tena japo hajakubali lkn ndo ivo nafsi inanisuta
Sent using Jamii Forums mobile app
Imeandikwa wapi mkuuDhuluma hii lazima ulipwe hapa hapa duniani kwa kuziniwa mkeo hii ni ahadi ya mungu kwa waja wake na hakika ataziniwa kabla hujafa jiandae kupokea mrejesho wa dhambi zako
Anaonya vizuri sana, kwa maneno hayo hatarudia
Mapema hii eti mtu tayari kazini tena mke wa mtu!!Hivi mkuu ukishakojoa kwa mchepuko unajiona mshindi? Fala ? Au mpuuzi fulani hivi mbunye ina mcontrol? Wenzio wanafanya kazi we upo unakatikia uke halafu utasema maisha magumu![]()
yaan ni shidah... watu wanapendaje ngono?Sometimes sisi wanawake wenyewe ndo tunajiweka kihasara hasara kwa wame za watu... Wengine no way ni kukukula tyu..
Hapa kazini mtaani nimeshuhudia sana..
Mahondaw wa Smart911
Na alipania hatari sanaMapema hii eti mtu tayari kazini tena mke wa mtu!!
Inaonyesha siku ya leo aliitenga kwa uzinzi!!!
kabla hujaondoka duniani,utavuna kwanza uliyopanda hapahapa.Baada ya kuwa nachepuka kwa muda mrefu leo nahacha lasmi na mke wangu naomba anisamehe leo nikiwa guest tena na mke wa mtu roho imeniuma sana nikawaza inakuaje kama ni mke wangu akifanyiwa ivo nikaisi nitaumia sana afu kingine yule mke wa mtu ana mimba ambayo hana uhakika kama niya jamaa ake au ya kwangu ivo imeniuma zaidi baada ya kuwaza jamaa anaweza kulea mtoto asiye wake .nimemwambia mazoea sitaki tena japo hajakubali lkn ndo ivo nafsi inanisuta
Sent using Jamii Forums mobile app