Leo nimechepuka mara ya mwisho

Leo nimechepuka mara ya mwisho

Kyawanjubu

JF-Expert Member
Joined
May 13, 2017
Posts
2,453
Reaction score
2,205
Baada ya kuwa nachepuka kwa muda mrefu leo naacha rasmi na mke wangu naomba anisamehe leo nikiwa guest tena na mke wa mtu roho imeniuma sana nikawaza inakuaje kama ni mke wangu akifanyiwa hivo nikahisi nitaumia sana alafu kingine yule mke wa mtu ana mimba ambayo hana uhakika kama ni ya jamaa yake au ya kwangu hivo imeniuma zaidi baada ya kuwaza jamaa anaweza kulea mtoto asiye wake.

Nimemwambia mazoea sitaki tena japo hajakubali lkn ndo ivo nafsi inanisuta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya kuwa nachepuka kwa muda mrefu leo nahacha lasmi na mke wangu naomba anisamehe leo nikiwa guest tena na mke wa mtu roho imeniuma sana nikawaza inakuaje kama ni mke wangu akifanyiwa ivo nikaisi nitaumia sana afu kingine yule mke wa mtu ana mimba ambayo hana uhakika kama niya jamaa ake au ya kwangu ivo imeniuma zaidi baada ya kuwaza jamaa anaweza kulea mtoto asiye wake .nimemwambia mazoea sitaki tena japo hajakubali lkn ndo ivo nafsi inanisuta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuchepuka ua hatuachi ni uchumi tu umeyumba kipindi hiki ndio maana tunaona michepuko kama sio vile. Ngoja uchumi wa nchi ukae sawa guest zote zitajaa kama kawaida. Kuchepuka ni hulka na ni umri Fulani hivi utaacha ukishastaafu huko above 60
 
Kuchepuka ua hatuachi ni uchumi tu umeyumba kipindi hiki ndio maana tunaona michepuko kama sio vile. Ngoja uchumi wa nchi ukae sawa guest zote zitajaa kama kawaida. Kuchepuka ni hulka na ni umri Fulani hivi utaacha ukishastaafu huko above 60
Nitajitahid nipunguze kama sio kuhacha kabisaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya kuwa nachepuka kwa muda mrefu leo nahacha lasmi na mke wangu naomba anisamehe leo nikiwa guest tena na mke wa mtu roho imeniuma sana nikawaza inakuaje kama ni mke wangu akifanyiwa ivo nikaisi nitaumia sana afu kingine yule mke wa mtu ana mimba ambayo hana uhakika kama niya jamaa ake au ya kwangu ivo imeniuma zaidi baada ya kuwaza jamaa anaweza kulea mtoto asiye wake .nimemwambia mazoea sitaki tena japo hajakubali lkn ndo ivo nafsi inanisuta

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana jitahidi utubu kwa Mungu utapata njia ya kweli kuachana na hiyo tabia ngumu ya kuchepuka. Sisi wote si wakamilifu mbele za Mungu sali sana ndugu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanaume anayejitambua huwa hachepuki.

A real man always focus on struggling for betterment of his family, and he always think about his wife, and children.

Wewe ni miongoni mwa wanaume wenye ZIPU mbovu, haifungi. Subiri Karma.
 
Unachomfanyia mwenzako na yeye anakufanyia hivyo hivyo endelea kuchepuka tu
 
Back
Top Bottom