Leo nimeamka na njaa, karibuni kula

Leo nimeamka na njaa, karibuni kula

Ana bikheyr alhamdulillah...habibty wako hajambo anakusalimia


Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

Mashallah nimefurahi kupata salam yake....sijui nianze kutoa????
 
Heee nimeona walii na hivyo vyekundu na hao samakii ni wa aje je na hiyo ni mishikaki???
 
Nimekwambia unafanya upendeleo bwana. Sasa hiyo chakula itakuwa juice ya kushushia huo ubwabwa na vitoweo cha pwani?

Hamna shida Ngekewa, unakaribishwa kuleta na vyakwako tule wote, ila subiri hii iishe
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom