Leo nimeamka na njaa, karibuni kula

Leo nimeamka na njaa, karibuni kula

Hii thread inakoelekea, natabiri mchezo mbaya utafanywa kati ya utafiti na miss neddy. Kwa mazungumzo haya, hawa wawili watapeana tu, mtakuja mniambie!
 
Bakuli leupe kule mwisho lina nini?

Hapo ulitakiwa uandike: Mtaje mtu unayemjua akiitwa hapo atapakua kila aina ya chakula/kila kitu.

Naanza: nkwela Ntuzu
 
Last edited by a moderator:
Teh Teh Teh Teh

Nkwela Mentor

Duh! Sijui hapo Nile kitoweo tu???!!!!

Bakuli leupe kule mwisho lina nini?

Hapo ulitakiwa uandike: Mtaje mtu unayemjua akiitwa hapo atapakua kila aina ya chakula/kila kitu.

Naanza: nkwela Ntuzu
 
Last edited by a moderator:
hahahaha wamechelewa wenyewe kuamka mimi nishajisevia chai na hali ya hewa ilivyokuwa asubuhi chai imenifanya nijisikie fresh siku nzima pole bysange kwa kuchelewa

Kesho nikileta sikuamshi coz unasubiri wengine wamelala unamaliza....hata ile juice sijui umeficha wapi?
 
Last edited by a moderator:
Kabla hatujaanza kula tugawane kabisa vitoeo kila mtu vyake la si hivo wale wenye matonge makubwa watamaliza samaki wote

Cc mimi49

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom