Leo nimeamini tamthilia za filipino na mexico na bongo movies zinaharibu wanawake

Kesho akitokea mtu wa kufungua na kufunga huo mlango wa gari mume utasoma nomber kwenye vumbi tumekuwa na kampeni za michepuko sio dili lkn ni dili wanaume wa kibongo hampendi kuonyeshja upendo kwa wake zenu ila tukiwakuta mmechepuka huko nje mpaka nazi huwa mnakuna bibie anaunga mchuzi hivi ni ujinga au mmerogwa?

To hell!Atamfungulia siku ngapi?Wewe ni walewale tu msiosoma hata alama za nyakati.Huwezi kuishi maisha yanayofanana kila siku hata pale halo au mazingira yanapobadilika nyumbani.Itakuwa uchizi fulani.
 
Nimeshaanza kuwaamini niliowahi kuwasikia wakisema kuwa ukiona Mzungu anamfungulia mkewe/mpenzi wake mlango ujue ni mapenzi hayo, lakini ukimuona Mwafrika anamfungulia mkewe/mpenzi wake mlango ujue huo mlango ni mbovu!!

Hahaaaaa...either gari mpya, au demu ndo brand new
 
Hicho kichapo fundisho tosha. Ebu JK harakisha JKT ya raia wote huku kitaa karibu na kambi za jeshi tuondoe uvivu (ulegevu), vitambi na tupambane na vibaka fresh naona polisi wanawagwaya!! Afu mwambie msela kesho amuagize aburashi zile buti nyeusi na afue soksi zote. Fasta , full respect. Huwa wana beep tu, na tiyar kasha piga cm kwa mashosti kwa mkasa. Kamwe nimekoma mbwembwe. Ha ha ha ha jamaaa nomaaa!!
 
Kichwa cha jamaa huyo kibovu
Sababu ya kumpiga ni ipi?? Mbona kakurupuka hivyo?
Hakupasa kumpiga mkewe kwa sababu kama hiyo. Nakubali ukweli kwamba yawezekana mme hakujisikia vizuri kwa dai la mkewe la kumfungulia mlango wakati wa matatizo ambapo safari yenyewe ni ya kwenda kumuona mgonjwa. Labda alihisi kuwa kwa kuwa mgonjwa ni ndugu wa mume basi mkewe haoni uchungu ndio maana anaendekeza madoido kama hayo. Lakini ndio ampige? Ningekuwa mimi ningefanya kama ambavyo mke ametaka, tungeenda hospitali. Baada ya kurudi nyumbani tuko bedroom ningemuuliza wife kama ulikuwa muda muafaka kwa yeye kudai nimfungulie mlango wakati safari yenyewe ya kwenda kumuona mgonjwa? Ningemuuliza tena kuwa mgonjwa angekuwa ndugu yake je, angefanya hayo madoido?
Maswali mawili hayo yangemfungua akili na nategemea angeomba radhi na maisha yangeendelea. Lakini kupiga ni dalili za ufinyu wa kufikiri.
 
hao hawajui maana ya ndoa, walikurupushana tu kwenda kanisani

there is a lot to be done before mtu aingie kwenye mahusiano ya ndoa

vijana muwe mnafanya homework zenu la sivyo mtaharibikiwa

kasi ya sasa ya mabinti kwenda na watu wa makamo inatisha sana... na wengi wakiwa ndani ya ndoa; na wanaume sasa tumekua kama wavuvi, ni kutega na ndoano tu kuvua na kutupia kikaangoni

kuna haja, tena haja kubwa sana ya kuelimisha vijana juu ya ujana na makujuku ya ujanani na dhamana ya ujana pia

nina wasiwasi tunapotea kama taifa hasa kwenye maadili

probably badala ya kutumia muda mwingi kuzungumzia tamthilia, chadema na ccm na simba na yanga ni high time kubadili theme ya taifa tuanze na operation okoa taifa

hali si hali

Wamekusikia

Sijui kama wamekuelewa
 
yawezekana kuna mambo ambayo hayajakaa vizuri miongon mwa ndugu wa mwanaume na huyo muolewaji, na huyo mwanamke hana hekima tuuuu.
 
When you see a man opening a door car to his wife, either is a new car or a new wife!
 
Huyo ni mwanaume wa kuigwa

Yaaani mm nampa big up sanaaa MONEYstoner
 
Last edited by a moderator:
Wengine hata hatuangaliagi hizo tamthiliaa!mambo ya uzungu tupa kulee!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom