masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 17,410
- 19,403
Waooooo hongeraa
Jifunze kumention kama hiviu, masai dada
Happy birthday masai dada live long mamy....
Sasa kila mtu siku yake yakuzaliwa ikifika akianzisha uzi si tutaishia kujaza server za JF bure.Wakuu hebu tuzionee huruma server za JF Kwa kuanzisha maada muhimu na zenye tija
Hongere sana masai dada pia pole na mafua
Hongera sana kwa hiyo miaka kadhaa yako:amen::amen::amen::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose:
CC: Invisible itabidi watu wawewanawekw na umri ilituwapongeze vizuri
Nilisikia eti John Komba kazaliwa 1978
Happy birthday masai dada
Live up to your expectations
Sasa kila mtu siku yake yakuzaliwa ikifika akianzisha uzi si tutaishia kujaza server za JF bure.Wakuu hebu tuzionee huruma server za JF Kwa kuanzisha maada muhimu na zenye tija
Waooo...epi besdei mamii! Mungu akubariki uishi kuona watoto wa wajukuu zako!
NINA MSHUKURU MU GU SANA KWA KUFIKA MIAKA KAZAA
ILA NINA MAFUA SANA MPAKA NAHIS HOMA
Kiranga niitie Mzizimkavu
nahitaji nipone haraka niombeeni
mambo yangu hayaendi maana mimi ndo stelingi yaani
Sasa kila mtu siku yake yakuzaliwa ikifika akianzisha uzi si tutaishia kujaza server za JF bure.Wakuu hebu tuzionee huruma server za JF Kwa kuanzisha maada muhimu na zenye tija