Kwa maajabu ya cwt hata kwenye website yao inawezekana hawajui kama leo ni siku ya walimu HAPPY TEACHERS DAY kazi ya wito piga kazi usiangalie nani kasema nini tema materials tupate kizazi bora kabisa baadae nawaheshimu sana walimu wote
we nn siku ya walimu ??? ha ha ha ha wenyewe hawajui wako mabarabarani na mabahasha ya copy za vyeti kwa ajili ya uhakiki.poleni walimu wa tz kwa kazi nzuri na ngumu.
we nn siku ya walimu ??? ha ha ha ha wenyewe hawajui wako mabarabarani na mabahasha ya copy za vyeti kwa ajili ya uhakiki.poleni walimu wa tz kwa kazi nzuri na ngumu.
ukimuuliza kuhusu hii siku mwalimu aliyeko kanyigo..nyangwale..pandagichiza au muzye anaweza kukukimbiza na mawe..ualimu ni wito lakini kwa TZ ni TOO MUCH.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.