Leo ni siku ya tumbaku duniani

Leo ni siku ya tumbaku duniani

uchunguzi unaonesha kuwa uvutaji wa sigara Tanzania ni wa huru zaidi ukilinganisha na nchi ya jirani ya kenya.
Tanzania watu wanavuta sigara hadharani, kwenye mikusanyiko ya watu, kumbi za starehe jambo ambalo ni hatari hata kwa wasiovuta sigara.
SWALI LANGU ..mnapigaje marufuku uvutaji wa sigara huku viwanda bado vipo na vinafanya kazi au ndo mnaon kila mtu mtoto mdogo.
kitu cha kuwekwa wazi. uvutaji wa bange umeharamisha ( thus wamezuia/ wamepiga mrufuku) why not cigarette?
Isipigwe marufuku bali ikomeshwe kama mnataka na mna nia ya dhati..... We unamwambia mtoto marufuku kutembea tembea huku unampa usafiri akueleweje?
 
SWALI LANGU ..mnapigaje marufuku uvutaji wa sigara huku viwanda bado vipo na vinafanya kazi au ndo mnaon kila mtu mtoto mdogo.
kitu cha kuwekwa wazi. uvutaji wa bange umeharamisha ( thus wamezuia/ wamepiga mrufuku) why not cigarette?
Isipigwe marufuku bali ikomeshwe kama mnataka na mna nia ya dhati..... We unamwambia mtoto marufuku kutembea tembea huku unampa usafiri akueleweje?

heading haijakaa sawa ni hivi shirika la afya duniani ndo liliweka may 31 iwe siku ya maadhimisho ya kutokutumia tumbaku duniani.
 
Tumbaku hatari sana kwa afya ya binadamu bora itokomezwe
 
Tumbaku ni cancer stop smokin cigar

REAL_COHIBA_CUBAN_CIGARS.jpg

mkuu hii cigar ni tofauti na sigara zetu za kibongo ukivuta hiyo inabidi uwe na afya vinginevyo unaweza kujinyea!
 
Tumbaku hatari sana kwa afya ya binadamu bora itokomezwe

serikali inabidi iweke sheria kali kuzuia matumizi ya sigara kwenye hadhara za watu hii ni kwasababu mtu asiyevuta sigara, akipata moshi wa sigara huathirika zaidi ukilinganisha na yule anayevuta.
 
Miaka ile ya awamu ya kwanza tulipo kuwa tunavaa kaniki, tumbaku ilikuwa kitu cha hadharani tu, kipindi hiki tuendacho awamu ya tano tumbaku kuonekana hadharani marufuku, inabidi niifiche kwenye VIP.
Leo ni siku ya kupiga marufuku matumizi ya tumbaku duniani.

Achana na tumbaku, kuboresha afya na mazingira bora uvute bange.
 
Wakulima wa tumbaku hii siku ni mbaya sana kwao.
 
serikali inabidi iweke sheria kali kuzuia matumizi ya sigara kwenye hadhara za watu hii ni kwasababu mtu asiyevuta sigara, akipata moshi wa sigara huathirika zaidi ukilinganisha na yule anayevuta.
Wala hujakosea ndio maana kuna baadhi ya nchi hawaruhusu uvutaji wa sigara kwenye mikusanyiko ya watu na unaweza tozwa hata faini
 
Wala hujakosea ndio maana kuna baadhi ya nchi hawaruhusu uvutaji wa sigara kwenye mikusanyiko ya watu na unaweza tozwa hata faini

Mkurugenzi mkuu wa chama cha kudhibiti tumbaku Tanzania, Luthegard Kagaruki amesema kuna haja ya kudhibiti matumizi ya tumbaku nchini kwa kupiga marufuku matangazo, promosheni na ufadhili wa tumbaku nchini kwa vile yanasababisha ongezeko kubwa la matumizi ya tumbaku miongoni mwa vijana.
 
Back
Top Bottom