Leo ni siku ya kupiga marufuku matumizi ya tumbaku duniani.
Achana na tumbaku, kuboresha afya na mazingira bora uvute bange.
Tumbaku ni cancer
Tumbaku ni cancer stop smokin cigar
![]()
chaukucha tayari ulishalipuliza mkuu asubuhi hii. haya bana ila kumbukua hiyo tumbaki na sigara na pombe kodi zao ndio zinaongoza nchi
sasa wanazuia tumbaku kivipi? mbona watu wakikutwa na madawa wanakamatwa, kwa nini watu wanaozalisha tumbaku au wanao process wakamatwe? nani asiyevijua viwanda vya sigara. hawa jamaa wasilete sanaa kama wanazuia au hawataki itumike ni vema kuiharamisha