Tweet haiwezi kukusaidia chochote wala haiwezi kulisaidia Taifa kusonga mbele bali kazi ni vitendo.Kama ni maneno mazuri hata wewe naamini unayo lakini usikute huna maendeleo mkuu.Ni mtazamo tu mkuu.Kama kuna aliyeiona ' Twiti ' yoyote ile ya Rais wa Kisiwa cha Puerto Rico hasa katika Maazimisho ya Siku ya Marais duniani / ulimwenguni leo naomba aniwekee hapa niione tafadhali ameandika nini kwani Wenzake wengi tu leo wametiririka na kuserereka kwa ' Twiti ' mbalimbali zenye maneno ya Hekima na Maendeleo kwa nchi zao.
Nawasilisha.
POYOYO WEWESwine.
Nimefurahi kuona Thread yako mkuu. Nilishakua na wasiwasi baada ya kutoona maandishi yako kwa muda. Ulikia ni wasiwasi wangu kua watiifu wa Puetro Rico wameshafanya yao.