MLAU
JF-Expert Member
- Aug 23, 2007
- 4,726
- 3,363
Leo ni siku ya kuadhimisha Ugonjwa wa Malaria Dunia ..Ugonjwa unaongoza kwa kusababisha vifo kwa watoto.
Ujumbe kwa jamii tupambane na mbu,mazalia yake,kuweka mazingira ktk hali ya usafi,kuhakikisha hakuna Mani yaliyotuama,tunafyeka majani.
Wajawazito wanatumia SP kama kinga ya malaria.
Familia tunalala ktk vyandarua vilivyowekwa dawa
Wote wenye dalili za Ugonjwa wa malaria wanafika vituo vya huduma kupata vipimo na dawa.
WHO imezichagua nchi za Kenya,Malawi na Ghana kutoa chanjo ya malaria kwa sababu nchi hizo ina viwango vikubwa vya wagonjwa wa malaria.
WHO imetoa taarifa kuwa kiwango cha malaria kwa nchi zilizo kusini mwaka Jangwa la Sahara kimepungua kwa 21%
Ujumbe kwa jamii tupambane na mbu,mazalia yake,kuweka mazingira ktk hali ya usafi,kuhakikisha hakuna Mani yaliyotuama,tunafyeka majani.
Wajawazito wanatumia SP kama kinga ya malaria.
Familia tunalala ktk vyandarua vilivyowekwa dawa
Wote wenye dalili za Ugonjwa wa malaria wanafika vituo vya huduma kupata vipimo na dawa.
WHO imezichagua nchi za Kenya,Malawi na Ghana kutoa chanjo ya malaria kwa sababu nchi hizo ina viwango vikubwa vya wagonjwa wa malaria.
WHO imetoa taarifa kuwa kiwango cha malaria kwa nchi zilizo kusini mwaka Jangwa la Sahara kimepungua kwa 21%