Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,695
- 1,696
- Thread starter
- #21
Hahahaha hiyo ingine bana acha nlitaka ni ku PM, kumbe umeoa bana. Nway msalimu huyo mother house.
Heee jamani, kwani kum-PM mtu kunagomba bandugu? Ubaya wake ni nini? Kwa kuwa nimeoa ndo si ruhusa kuni-PM? Unless kama sijakuelewa.