Umeshangazwa na Nini!?,mwal.anasheshma zake zote kwa kila mtz na tumekuwa tukimuenz kila kukicha Hadi leo,jpm alikuwa mbadala wa mwal. hivyo ni sawa pia katka kumbukiz za mwal.kumkumbuka pia jpm.hii ni meseji kwa mwal. ya kuwa baada ya wewe mwal. alitokea kijana wako ambae alitembea kwenye maono yako ya miaka mingi,bahati mbaya hatunae ,Ila ametufikisha mahali fulani pa kuanzia na kuendeleza.Binafsi nimeshangazwa pia
... Ha ha ha! CCM wabadili Katiba ili viongozi wote wenye kinga ya kutoshtakiwa siku watakazofariki ziwe mapumziko ya kitaifa. Itakuwa njia bora ya kuwaenzi viongozi hawa hata baada ya kuondoka duniani.Inaonekana Magufuli day tutapewa wiki nzima off
Kweli hata mkuu wa wilaya hajaenda Butiama leo
Hii tafsiri yakoUmeshangazwa na Nini!?,mwal.anasheshma zake zote kwa kila mtz na tumekuwa tukimuenz kila kukicha Hadi leo,jpm alikuwa mbadala wa mwal. hivyo ni sawa pia katka kumbukiz za mwal.kumkumbuka pia jpm.hii ni meseji kwa mwal. ya kuwa baada ya wewe mwal. alitokea kijana wako ambae alitembea kwenye maono yako ya miaka mingi,bahati mbaya hatunae ,Ila ametufikisha mahali fulani pa kuanzia na kuendeleza.
... Jpm aundiwe siku yake ya mapumziko; siku ya Mw. unamuenzi mwingine huku mwenye siku yake akiachwa tafsri yake nini? Mashada yalitakiwa yakawekwe Butiama kama yanavyowekwa Kisiwandui na sio Chato! Baba wa Taifa amekosewa heshima sana leo!Umeshangazwa na Nini!?,mwal.anasheshma zake zote kwa kila mtz na tumekuwa tukimuenz kila kukicha Hadi leo,jpm alikuwa mbadala wa mwal. hivyo ni sawa pia katka kumbukiz za mwal.kumkumbuka pia jpm.hii ni meseji kwa mwal. ya kuwa baada ya wewe mwal. alitokea kijana wako ambae alitembea kwenye maono yako ya miaka mingi,bahati mbaya hatunae ,Ila ametufikisha mahali fulani pa kuanzia na kuendeleza.
... wazo zuri; Chato pawe mahali rasmi pa kuwazika viongozi!Wanapoelekea , kuna Viongozi watataka wazikwe Chato , wakifa
... harusi yako, sherehe anafanyiwa mwingine yafaa kuingizwa Guinness Book of Records.Mnamuonea wivu hadi marehemu?!
Hakika wakikujibu nistue , Hangaya badala ya kwenda kufagia kaburi la Nyerere anahangaika na mwendazake asiyehusikaWanasema leo ni kumbukumbu ya Kifo cha Nyerere lakini viongozi wote wakubwa wameenda kutembelea na kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la Magufuli. Kwahiyo siku ya kumbulumbu ya kifo cha Magufuli watakwenda Butiama kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la Nyerere? Au walitaka kutuonesha kuwa wamelijengea nyumba kaburi la Magufuli? Sijaelewa!
View attachment 1973955View attachment 1973956View attachment 1973957
Ukishalipwa unaweza kutetea hadi uchafu !siku ya pasaka hua unaenda kwenye kaburi la yesu?
nijuavyo, nyerere day hua tunasherehekea maisha ya nyerere so inaweza kua popote.
naunga mkono... wazo zuri; Chato pawe mahali rasmi pa kuwazika viongozi!
Ni upumbavu wa Hali ya Juu, yaani leo hii Magufuli ndio achukue nafasi ya Mwalimu?Wanasema leo ni kumbukumbu ya Kifo cha Nyerere lakini viongozi wote wakubwa wameenda kutembelea na kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la Magufuli. Kwahiyo siku ya kumbulumbu ya kifo cha Magufuli watakwenda Butiama kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la Nyerere? Au walitaka kutuonesha kuwa wamelijengea nyumba kaburi la Magufuli? Sijaelewa!
View attachment 1973955View attachment 1973956View attachment 1973957