Joasi JF-Expert Member Apr 3, 2014 768 667 May 1, 2019 #1 Za kushinda wapendwa Moja kwa moja kwenye maada. Leo nipo bar na nimewaona walimu wengi sana hapa Ambao tunafahamiana . My take nini kimetokea kwa walimu wetu wapendwa and way wafanye kama kasherehe hivi.
Za kushinda wapendwa Moja kwa moja kwenye maada. Leo nipo bar na nimewaona walimu wengi sana hapa Ambao tunafahamiana . My take nini kimetokea kwa walimu wetu wapendwa and way wafanye kama kasherehe hivi.
Tayukwa JF-Expert Member Dec 11, 2014 2,144 4,298 May 1, 2019 #2 Wanatamaa za kutaka kujiondolea stress kumbe hta hizo hela za balimi ni za mkopo.
rutabazi JF-Expert Member Aug 16, 2014 494 291 May 3, 2019 #4 Umeenda bar kuangalia walimu mzee..kwaiyo hujaona manes madoct umeona maticher tu..hi n chuki
Ngalikihinja JF-Expert Member Sep 1, 2009 31,281 31,413 May 3, 2019 #5 Joasi said: Za kushinda wapendwa Moja kwa moja kwenye maada. Leo nipo bar na nimewaona walimu wengi sana hapa Ambao tunafahamiana . My take nini kimetokea kwa walimu wetu wapendwa and way wafanye kama kasherehe hivi. Click to expand... Sijaona utetesi wa hii habari
Joasi said: Za kushinda wapendwa Moja kwa moja kwenye maada. Leo nipo bar na nimewaona walimu wengi sana hapa Ambao tunafahamiana . My take nini kimetokea kwa walimu wetu wapendwa and way wafanye kama kasherehe hivi. Click to expand... Sijaona utetesi wa hii habari
rutabazi JF-Expert Member Aug 16, 2014 494 291 May 3, 2019 #6 Tayukwa said: Wanatamaa za kutaka kujiondolea stress kumbe hta hizo hela za balimi ni za mkopo. Click to expand... Hahahahaha inafurahisha ukikutanao wape ushauri usije wakafika na chaki zao nasikini huruma kwel
Tayukwa said: Wanatamaa za kutaka kujiondolea stress kumbe hta hizo hela za balimi ni za mkopo. Click to expand... Hahahahaha inafurahisha ukikutanao wape ushauri usije wakafika na chaki zao nasikini huruma kwel
Davet JF-Expert Member Apr 5, 2013 42,377 205,773 May 3, 2019 #7 Wanapoteza mawazo ya Mei mosi tena wawe makini wasifike alipofika Chid Benz
rutabazi JF-Expert Member Aug 16, 2014 494 291 May 3, 2019 #8 rutabazi said: Hahahahaha inafurahisha ukikutanao wape ushauri wasije wakafariki na chaki zao nasikini huruma kwel Click to expand...
rutabazi said: Hahahahaha inafurahisha ukikutanao wape ushauri wasije wakafariki na chaki zao nasikini huruma kwel Click to expand...