KELVIN GASPER
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,066
- 454
Mabomba katika manispaa ya tabora yanatoa maji mithili ya supu ya utumbo ambao haukukamuliwa. mlioko manispaa hii najua mtaniunga mkono.
Endeleeni kuvumilia, mlipewa nafasi ya kuyabadili hayo yote twenty ten mkaamua kumpa Msomali anayeishi Dar, hayo matatizo yenu atayaelewa vipi?