Leo Lissu atapelekwa NEC kusaini au NEC itakwends Keko?

Leo Lissu atapelekwa NEC kusaini au NEC itakwends Keko?

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,729
Reaction score
5,637
Kama Lissu akikubali kusaini, utaratibu gani utatumika?
NEC itakwenda Keko au jambo gani litatokea?
Na kama Lissu akikataa kusaini kutakuwa na ramifications gani? Athari gani? Na athari za ziada?
Kama Lissu akikubali kusaini itatokea mitigation katika mashtaka yanayomkabili?
 
Kama Lissu akikubali kusaini,utarayibu gani utatumika?
NEC itskwends Keko au jambo gani litatokea?
Na kama Lissu akikataa kusaini kutakuwa na ramifications gani? Athari gani? Na athari za ziada?
Kama Lissu akikubali kusaini itatokea mitigation katika mashtaka yanayomkabili?
Jumamosi ni siku ya kazi kiserkali?!
 
Kama Lissu akikubali kusaini,utarayibu gani utatumika?
NEC itskwends Keko au jambo gani litatokea?
Na kama Lissu akikataa kusaini kutakuwa na ramifications gani? Athari gani? Na athari za ziada?
Kama Lissu akikubali kusaini itatokea mitigation katika mashtaka yanayomkabili?
 
Naomba mod anisaidie kurekebisha title.
I've been up all night long.
Concentration yangu imepungua.
 
Majibu yameshapatikana. Na Katibu Mkuu wa chama amewaonya pia mamluki wasije wakajitoa ufahamu. Utaratibu uliowekwa uko wazi; unamtaka Mwenyekiti, au Katibu mkuu tu kusaini! Na siyo John Mrema au Julius Mwita!
 
Kama Lissu akikubali kusaini, utaratibu gani utatumika?
NEC itakwenda Keko au jambo gani litatokea?
Na kama Lissu akikataa kusaini kutakuwa na ramifications gani? Athari gani? Na athari za ziada?
Kama Lissu akikubali kusaini itatokea mitigation katika mashtaka yanayomkabili?

Unakurupuka sana chawa. Kwanza chama cha Lissu kina wanasheria na wameshaongea. Pili mtu ambaye anatakiwa kuweka signature sio Lissu ni Mnyika mbaye kashaongea. Tatu wanasheria wameshaongea kwamba hizo signature hazina maana yeyote kwa sasa kisheria sasa unaongea vitu kichawa chawa ili tusiongelee mambo ya maana. Kwenye nchi nyingine watu kama wewe ndiyo wanapigwa mawe
 
Kama Lissu akikubali kusaini, utaratibu gani utatumika?
NEC itakwenda Keko au jambo gani litatokea?
Na kama Lissu akikataa kusaini kutakuwa na ramifications gani? Athari gani? Na athari za ziada?
Kama Lissu akikubali kusaini itatokea mitigation katika mashtaka yanayomkabili?
Lissu is clever enough not to be crooked
 
Back
Top Bottom