Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,245
- 90,421
Hahahahaha nakuchoraje tena Rafiki..Unanichora tu! Wewe umetokea huko😎
Hahahahaha nakuchoraje tena Rafiki..Unanichora tu! Wewe umetokea huko😎
Kwaiyo Lomalisa alihongwaTunajua tatizo ni nini!
Tatizo ni viongozi. Bahasha zipo sana.Hivi unajua kwa nini Inonga alitoka?Unadhani kwa nini huwa anacheza chini ya kiwango akicheza na yanga?Mipango ipo sana.Lakini sisi tunalia na uongozi kwa nini waruhusu timu iingilike kizembe kizembe?
Ubingwa wa yanga ni mipango licha ya wao kuwa bora lakini hawajaacha kutumia bahasha.
Umetokea hukoHahahahaha nakuchoraje tena Rafiki..
Kwa aina hii ya mashabiki na wanachama mangungu awe mwenyekiti wa kudumu tuTunajua tatizo ni nini!
Tatizo ni viongozi. Bahasha zipo sana.Hivi unajua kwa nini Inonga alitoka?Unadhani kwa nini huwa anacheza chini ya kiwango akicheza na yanga?Mipango ipo sana.Lakini sisi tunalia na uongozi kwa nini waruhusu timu iingilike kizembe kizembe?
Ubingwa wa yanga ni mipango licha ya wao kuwa bora lakini hawajaacha kutumia bahasha.