Leo kelele za bahasha hakuna

Leo kelele za bahasha hakuna

The Wing

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2023
Posts
1,322
Reaction score
2,061
Moja kwa moja niulize, Simba leo mbona hamlii na bahasha za Yanga?

Imekuwa kawaida msimu mzima kila Yanga akishinda mnasema katoa hongo, vipi wazee baada ya kipigo mna la kusema?

Mje mseme hapa GSM kawapa bei gani.

7-2
 
Moja kwa moja niulize, Simba leo mbona hamlii na bahasha za Yanga?

Imekuwa kawaida msimu mzima kila Yanga akishinda mnasema katoa hongo, vipi wazee baada ya kipigo mna la kusema?

Mje mseme hapa GSM kawapa bei gani.

7-2
Tunajua tatizo ni nini!
Tatizo ni viongozi. Bahasha zipo sana.Hivi unajua kwa nini Inonga alitoka?Unadhani kwa nini huwa anacheza chini ya kiwango akicheza na yanga?Mipango ipo sana.Lakini sisi tunalia na uongozi kwa nini waruhusu timu iingilike kizembe kizembe?
Ubingwa wa yanga ni mipango licha ya wao kuwa bora lakini hawajaacha kutumia bahasha.
 
Back
Top Bottom