babukijana JF-Expert Member Joined Jul 21, 2009 Posts 15,959 Reaction score 20,276 Apr 21, 2023 #41 Wavaa kobazi hawajui hata sikuku yao lini. Elimu jamani halafu nyie ni kula pilau tu na soda iwe leo au kesho mnaweza pia mkasherekea siku mbili kuna zambi gani. Uvivu mpk kujipangia ratiba Kuleni leo pilau kesho biriani ubishi unaisha.
Wavaa kobazi hawajui hata sikuku yao lini. Elimu jamani halafu nyie ni kula pilau tu na soda iwe leo au kesho mnaweza pia mkasherekea siku mbili kuna zambi gani. Uvivu mpk kujipangia ratiba Kuleni leo pilau kesho biriani ubishi unaisha.
Carasco Putin JF-Expert Member Joined Apr 23, 2022 Posts 12,566 Reaction score 35,808 Apr 21, 2023 #42 Kilimbatzz said: Na Bora mfungulie hiyo kesho Ili bei ya kitimoto ipande na biashara ichanganye mjini Click to expand... Pumbafu
Kilimbatzz said: Na Bora mfungulie hiyo kesho Ili bei ya kitimoto ipande na biashara ichanganye mjini Click to expand... Pumbafu
princess ariana JF-Expert Member Joined Aug 19, 2016 Posts 9,657 Reaction score 19,272 Apr 21, 2023 #43 Huku waswali Sunni wanakinukisha mpaka nawaonea shia huruma πππ saa hii kumetaradadi msikitini huko
Huku waswali Sunni wanakinukisha mpaka nawaonea shia huruma πππ saa hii kumetaradadi msikitini huko
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 166,886 Reaction score 185,296 Apr 22, 2023 #44 Kesho...