Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 3,119
- 1,428
Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof Sospeter Muhongo ametoa ushauri juu ya:
(i) Uboreshaji wa sera yetu ya maafa
(ii) Upatikanaji wa ajira nchi za nje
Mbunge huyo amesema ajira za nje ya nchi zetu ni bidhaa mpya Duniani ambayo mwaka jana (2024) ilikuwa ya thamani ya USD bilioni 905.
Tafadhali msikilize Prof Muhongo kutoka kwenye CLIP/VIDEO iliyoambatanishwa hapa.
(i) Uboreshaji wa sera yetu ya maafa
(ii) Upatikanaji wa ajira nchi za nje
Mbunge huyo amesema ajira za nje ya nchi zetu ni bidhaa mpya Duniani ambayo mwaka jana (2024) ilikuwa ya thamani ya USD bilioni 905.
Tafadhali msikilize Prof Muhongo kutoka kwenye CLIP/VIDEO iliyoambatanishwa hapa.