lizzy hasira za nini tena,siko peke yangu wako wengi wanaofanya hivyo mimi nimeamua ku-share tu.tatizo lenu mnapenda kuuliza, Una mpango gani na mimi?sasa jamaa kashakuzimia badala kumkubalia na kumpa mapenzi matamu yatakayomfanya a-stay wewe unarukia kwenye conclusion oo utanioa au unataka kunchezea?
Alafu we lizzy na ukali wako huo ntakukomesha kwa kutumia mashangazi lazima uachie tu!!!(kama hujaolewa lakini)
mnajua? mtu ajionavyo yuko, anadhani na wengine wapo kama yeye na wao wanaona sawa tu kwao kuwa na tabia za kishen*i. na hawajali kama haya yanaweza kuwatokea hata wao ndani ya familia zao. inachukiza sana kuharibiwa waliotulia.
Nimefanya kautafiti kadogo na kugundua ukitaka 'kumlamba' binti mrembo aliyeshika dini basi mwambie ''lengo langu si kukuchezea na mungu akipenda tuta....halafu hapa unaanzisha kikohozi cha ghafla basi utaona mtoto kainuka na kukushika bega huku akikupa pole nyiiingi,ukiona hivyo ujue kimeshaeleweka hapo.
Hii imekaaje ?
lakini kama kweli aisee... Hawa watu bila uongo utaishia kula kwa macho.
watu kama nyie ndio ambao mnaomghathibisha Mungu!! baada ya kumtia mtu moyo asonge mbele shetani anawatumia kuwarudisha nyuma!! imeandikwa kipimo upimiacho ndicho utakachopiwa!!
ole wako!!!