lizzy hasira za nini tena,siko peke yangu wako wengi wanaofanya hivyo mimi nimeamua ku-share tu.tatizo lenu mnapenda kuuliza, Una mpango gani na mimi?sasa jamaa kashakuzimia badala kumkubalia na kumpa mapenzi matamu yatakayomfanya a-stay wewe unarukia kwenye conclusion oo utanioa au unataka kunchezea?
Alafu we lizzy na ukali wako huo ntakukomesha kwa kutumia mashangazi lazima uachie tu!!!(kama hujaolewa lakini)