Lengo langu si kukuchezea....


mnawafanya mafungu ya nyanya, mkifunua mnafunika, mnawaumiza mtima
 
mnajua? mtu ajionavyo yuko, anadhani na wengine wapo kama yeye na wao wanaona sawa tu kwao kuwa na tabia za kishen*i. na hawajali kama haya yanaweza kuwatokea hata wao ndani ya familia zao. inachukiza sana kuharibiwa waliotulia.

nyie kina mkwaruzo ndio hatari zaidi 'silent kilazz'mnajidai wapoole kumbe ni balaa kubwa.
 
Ndivyo kwa mabinti wengi, lakini hapo utatafuta laana tu, kwanini uibue mapenzi kwa mtu unaejua huna mpango nae. kanunue wanao jiuza.
 
hahaaaaaaaaaa umenikumbusha mbali kuna siku moja nikakutana na mwanaume mwenyewe acha amwage sifa huyo nyingine unagundua kabisa unauziwa mbuzi kwenye gunia.

ushauri wangu kama huna nia na mtu usicheze hisia zake kuna watu wengi tu wanatoa huduma bure bila vigezo na masharti
 
KWeli we ni kipindupindua!!Kwahiyo mtu akikuuliza una malengo gani nae unashindwa nini kumwambia mwenyewe hujui unachotaka na huko mbeleni kila mmoja akipendezwa na mwenzake mnaweza kua zaidi ya wapenzi!?Acha kupinduapindua watoto wa watu!Alafu mashangazi zangu tu wamenishindwa hao unaowatuma wa kazi gani?
 

tushawastukia.
Maujanja yenu yote tunayajua.
 
lakini kama kweli aisee... Hawa watu bila uongo utaishia kula kwa macho.
 
lakini kama kweli aisee... Hawa watu bila uongo utaishia kula kwa macho.

umeshtukia ee!halafu mara nyingi mabinti wa namna hii hudondokea kwenye mikono dhalimu kama ya kipindupindu.
 
Na ole wao siku ikifika watalia na kusaga meno!
watu kama nyie ndio ambao mnaomghathibisha Mungu!! baada ya kumtia mtu moyo asonge mbele shetani anawatumia kuwarudisha nyuma!! imeandikwa kipimo upimiacho ndicho utakachopiwa!!

ole wako!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…