Lengai Ole Sabaya apewe mkoa wa Morogoro

Lengai Ole Sabaya apewe mkoa wa Morogoro

Mhe Raisi naomba na mimi unipe uongozi sitakuangusha nitafata yote unayotaka ata nje ya katiba ili mambo yaende sawa. Maana punda bila mzigo haendi..
 
Nadhani ni wakati muafa sasa mkuu wa wilaya ya Hai kupewa jukumu la kuongoza mkoa wa Morogoro.

Hii ni kutokana na ukweli kwamba mkoa huu umeonekana kuwa na changamo
It will be a fatal mistake
 
Kama mh. Rais anatafuta mtu sahihi kwa wakati huu ili akabiliane sawa sawa na changamoto za mkoa wa Morogoro nadhani na ninaamini Ole Sabaya ni chaguo sahihi kabisa.
Najua bado ni kijana la aina yake ya uongozi ni itasaidia kukabiliana na matatizo yasiyoisha ya mkoa huo. Tumwombe mh. Rais ampe nafasi
Kwa nn asikupe wewe,huna uwezo mpaka umpigie chapuo mwenzio?
 
Nilizani labda huyu uliyemtaja ni mzaliwa wa Morogoro! Hivi wafugaji wameshaboresha ufugaji?
 
Kuhusu suala la milungula mamlaka iliyomteua nadhani ndo ina taarifa sahihi kuliko mwingine yoyote na ndo maana anaendelea na majukumu yake.
Waliomtengenezea tuhuma hizo wanajua pia kwa nini walimtengenezea tuhuma hizo.
Hii post haina afya kwa unaetaka ateuliwe,kwa moyo mkunjufu Ni kheri ukaifuta maana Moro bado ina RC so unachofanya Ni kuchonganisha watu
 
Nadhani ni wakati muafa sasa mkuu wa wilaya ya Hai kupewa jukumu la kuongoza mkoa wa Morogoro.

Hii ni kutokana na ukweli kwamba mkoa huu umeonekana kuwa na changamo


Bila kujali Uchanga wake kwenye Uongozi wa Serikali kwa sababu hafanyi Kazi peke yake bali na Watu wakiwemo RAS, DEDs, Wakurugenzi wengine ni heri ateuliwe Ndg. Julius Mtatiro
 
Nadhani ni wakati muafa sasa mkuu wa wilaya ya Hai kupewa jukumu la kuongoza mkoa wa Morogoro.

Hii ni kutokana na ukweli kwamba mkoa huu umeonekana kuwa na changamo
Ni lazima apatikane mla rushwa kuwa RC Morogoro ?
 
Kijana yule aliwekwa hai kimkakati hawezi kumtoa

Ole Sabaya bado ana kazi za kufanya pale Hai. Kuna viongozi wastaafu mpaka leo wanaidai halmashauri pesa zao na bado hawajalipwa na mambo chungu nzima kuhusu Ardhi hayajapatiwa ufumbuzi. Mpeni muda apate uzoefu ama sivyo kumuharakishia ukuu wa Mkoa atateseka bure kama wanavyoteseka wenzie wa Iringa na Arusha!!! Muacheni Ole akomae huko mbele atakuja kuwa kiongozi mzuri zaidi. Haraka haraka haina baraka bali subira yavuta kheri!!!
 
Back
Top Bottom