DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,503
- 29,904
DadaKoma kabisa abaki huko huko
hutaki kiongozi mchapwa kazi ?
DadaKoma kabisa abaki huko huko
Endelea kujipigia debe mkuu,vp ile inshu ya pale cocoriko ulimalizana na wale jamaa?Kama mh. Rais anatafuta mtu sahihi kwa wakati huu ili akabiliane sawa sawa na changamoto za mkoa wa Morogoro nadhani na ninaamini Ole Sabaya ni chaguo sahihi kabisa.
Najua bado ni kijana la aina yake ya uongozi ni itasaidia kukabiliana na matatizo yasiyoisha ya mkoa huo. Tumwombe mh. Rais ampe nafasi
Ili aende tena huko akafanye fujo Hotelini usikuNadhani ni wakati muafa sasa mkuu wa wilaya ya Hai kupewa jukumu la kuongoza mkoa wa Morogoro.
Hii ni kutokana na ukweli kwamba mkoa huu umeonekana kuwa na changamo
Kwanini usipewe wewe hiyo nafasi?Kama mh. Rais anatafuta mtu sahihi kwa wakati huu ili akabiliane sawa sawa na changamoto za mkoa wa Morogoro nadhani na ninaamini Ole Sabaya ni chaguo sahihi kabisa.
Najua bado ni kijana la aina yake ya uongozi ni itasaidia kukabiliana na matatizo yasiyoisha ya mkoa huo. Tumwombe mh. Rais ampe nafasi
Nadhani ni wakati muafa sasa mkuu wa wilaya ya Hai kupewa jukumu la kuongoza mkoa wa Morogoro.
Hii ni kutokana na ukweli kwamba mkoa huu umeonekana kuwa na changamo
RubbishNadhani ni wakati muafa sasa mkuu wa wilaya ya Hai kupewa jukumu la kuongoza mkoa wa Morogoro.
Hii ni kutokana na ukweli kwamba mkoa huu umeonekana kuwa na changamo
Hivi kama huna sifa ya kuwa .mwanafunzi wa Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli unapata wapi sifa ya kuwa mwalimu wakeKama mh. Rais anatafuta mtu sahihi kwa wakati huu ili akabiliane sawa sawa na changamoto za mkoa wa Morogoro nadhani na ninaamini Ole Sabaya ni chaguo sahihi kabisa.
Najua bado ni kijana la aina yake ya uongozi ni itasaidia kukabiliana na matatizo yasiyoisha ya mkoa huo. Tumwombe mh. Rais ampe nafasi
Na Simiyu nao wabaki na naniPale kinakuja kifaa kutoka Simiyu!
Jokate anaweza kusogea pia..... ameonyesha anaweza.
Maendeleo hayana vyama!
Unamjua huyo kijana wa Simiyu?Na Simiyu nao wabaki na nani
Kwani wao Simiyu hawatakiwi kuwa na viongozi wazuri?
Nadhani ni wakati muafa sasa mkuu wa wilaya ya Hai kupewa jukumu la kuongoza mkoa wa Morogoro.
Hii ni kutokana na ukweli kwamba mkoa huu umeonekana kuwa na changamo
Kama mh. Rais anatafuta mtu sahihi kwa wakati huu ili akabiliane sawa sawa na changamoto za mkoa wa Morogoro nadhani na ninaamini Ole Sabaya ni chaguo sahihi kabisa.
Najua bado ni kijana la aina yake ya uongozi ni itasaidia kukabiliana na matatizo yasiyoisha ya mkoa huo. Tumwombe mh. Rais ampe nafasi
Huyu huyu wa 'TISI' au mwingine?
Raisi hapangiwi yeye akiona anafaa haina shida hajawahi kutuangusha watanzania, jpm daima
morogoro ina maendeleo?Pale kinakuja kifaa kutoka Simiyu!
Jokate anaweza kusogea pia..... ameonyesha anaweza.
Maendeleo hayana vyama!
Wasukuma kazini
demi ngoja tuwaletee huyu mataga ili awanyooshe kidogoKoma kabisa abaki huko huko