Pale kinakuja kifaa kutoka Simiyu!Nadhani ni wakati muafa sasa mkuu wa wilaya ya Hai kupewa jukumu la kuongoza mkoa wa Morogoro.
Hii ni kutokana na ukweli kwamba mkoa huu umeonekana kuwa na changamo
Nadhani ni wakati muafa sasa mkuu wa wilaya ya Hai kupewa jukumu la kuongoza mkoa wa Morogoro.
Hii ni kutokana na ukweli kwamba mkoa huu umeonekana kuwa na changamo
Changamo ndio nini ?Nadhani ni wakati muafa sasa mkuu wa wilaya ya Hai kupewa jukumu la kuongoza mkoa wa Morogoro.
Hii ni kutokana na ukweli kwamba mkoa huu umeonekana kuwa na changamo
Pale kinakuja kifaa kutoka Simiyu!
Jokate anaweza kusogea pia..... ameonyesha anaweza.
Maendeleo hayana vyama!
Absolutely right!!Nadhani ni wakati muafa sasa mkuu wa wilaya ya Hai kupewa jukumu la kuongoza mkoa wa Morogoro.
Hii ni kutokana na ukweli kwamba mkoa huu umeonekana kuwa na changamo
Huyu huyu wa 'TISI' au mwingine?Nadhani ni wakati muafa sasa mkuu wa wilaya ya Hai kupewa jukumu la kuongoza mkoa wa Morogoro.
Hii ni kutokana na ukweli kwamba mkoa huu umeonekana kuwa na changamo
Iman yako baki nayo mzee baba, usitake tuamini unachokiamini!Kama mh. Rais anatafuta mtu sahihi kwa wakati huu ili akabiliane sawa sawa na changamoto za mkoa wa Morogoro nadhani na ninaamini Ole Sabaya ni chaguo sahihi kabisa.
Najua bado ni kijana la aina yake ya uongozi ni itasaidia kukabiliana na matatizo yasiyoisha ya mkoa huo. Tumwombe mh. Rais ampe nafasi
Nadhani ni wakati muafa sasa mkuu wa wilaya ya Hai kupewa jukumu la kuongoza mkoa wa Morogoro.
Hii ni kutokana na ukweli kwamba mkoa huu umeonekana kuwa na changamo
Nadhani ni wakati muafa sasa mkuu wa wilaya ya Hai kupewa jukumu la kuongoza mkoa wa Morogoro.
Hii ni kutokana na ukweli kwamba mkoa huu umeonekana kuwa na changamo
Kwani aliyepo sasa Morogoro kafariki?Kama mh. Rais anatafuta mtu sahihi kwa wakati huu ili akabiliane sawa sawa na changamoto za mkoa wa Morogoro nadhani na ninaamini Ole Sabaya ni chaguo sahihi kabisa.
Najua bado ni kijana la aina yake ya uongozi ni itasaidia kukabiliana na matatizo yasiyoisha ya mkoa huo. Tumwombe mh. Rais ampe nafasi
Ole sabaya hivi unajua mkuu wa mkoa wa Morogoro ni Medical doctor by professional from MUHAS??? Jipime Elimu yako na yake! Then angalia Cv yake na yako!!
Swala la Majanga ( natural disaster calamities) huwa halina alternatives hata ungekua wewe!
Ridhika na nafasi uliyo nayo!