PreGE2025 Lembrus Mchome: Lissu hakubali kukosolewa

PreGE2025 Lembrus Mchome: Lissu hakubali kukosolewa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

mwanamwana

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
1,410
Reaction score
4,988
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Wilaya ya Mwanga, Lembrus Mchome amesema anashangazwa na namna ambavyo Mwenyekiti wa chama hicho Tundu Lissu amekuwa akijibu wanachama wanaotoa maoni tofauti kuwa hatumii lugha nzuri wala namna nzuri.

Pia soma > Lembrus Mchome: Tundu Lissu hana tofauti na Magufuli ni dikteta uchwara

Akizungumza na wanahabari leo April 8, Mchome amesema “kama tunakuwa na viongozi ambao wanajiita wanademokrasia lakini wao sio waumini wa demokrasia”

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Mchome amemtolea mfano Mwenyekiti aliyepita Freeman Mbowe kuwa alikuwa kiongozi ambaye alipokea maoni hata mbadala bila kuchukulia kwa ubaya “tulikuwa na Kiongozi aliyepita Mzee wetu Freeman Mbowe alikubali kupokea yote, alikubali kukosolewa aliyapokea yote”

 
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Wilaya ya Mwanga, Lembrus Mchome amesema anashangazwa na namna ambavyo Mwenyekiti wa chama hicho Tundu Lissu amekuwa akijibu wanachama wanaotoa maoni tofauti kuwa hatumii lugha nzuri wala namna nzuri.

Pia soma > Lembrus Mchome: Tundu Lissu hana tofauti na Magufuli ni dikteta uchwara

Akizungumza na wanahabari leo April 8, Mchome amesema “kama tunakuwa na viongozi ambao wanajiita wanademokrasia lakini wao sio waumini wa demokrasia”

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Mchome amemtolea mfano Mwenyekiti aliyepita Freeman Mbowe kuwa alikuwa kiongozi ambaye alipokea maoni hata mbadala bila kuchukulia kwa ubaya “tulikuwa na Kiongozi aliyepita Mzee wetu Freeman Mbowe alikubali kupokea yote, alikubali kukosolewa aliyapokea yote”

View attachment 3297110
Swali la uelewa kwa wanajukwaa tafadhali.Je huyu mwamba ni miongoni mwa g55?
 
Huyu Mchome si alikuwa mmoja wa mashahidi kwenye kesi ya Mbowe ya kubambikiwa ya ugaidi?
Kanda yake ya kiuongozi pekee inanipa maswali iwapo sii timu mw.kiti mbuyu ulio ng'ooka na iwapo kama sii sehemu ya g55 a.k.a mpox55.?
 
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Wilaya ya Mwanga, Lembrus Mchome amesema anashangazwa na namna ambavyo Mwenyekiti wa chama hicho Tundu Lissu amekuwa akijibu wanachama wanaotoa maoni tofauti kuwa hatumii lugha nzuri wala namna nzuri.

Pia soma > Lembrus Mchome: Tundu Lissu hana tofauti na Magufuli ni dikteta uchwara

Akizungumza na wanahabari leo April 8, Mchome amesema “kama tunakuwa na viongozi ambao wanajiita wanademokrasia lakini wao sio waumini wa demokrasia”

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Mchome amemtolea mfano Mwenyekiti aliyepita Freeman Mbowe kuwa alikuwa kiongozi ambaye alipokea maoni hata mbadala bila kuchukulia kwa ubaya “tulikuwa na Kiongozi aliyepita Mzee wetu Freeman Mbowe alikubali kupokea yote, alikubali kukosolewa aliyapokea yote”

View attachment 3297110
Dikteta
 
Hii ndio bidhaa aliosema ndugu yao Lema?
 
Huyu mpuuzi kweli, anamkosoa LISSU au anamkosoa maamuzi ya Chama?.

Likichwa likubwa ila limejaa matope .
Nina uhakika hujamsikiliza. Amesema akidi ya baraza kuu haikufikiwa. Walikuwepo Mchungaji Mapinduzi, Mwaipaya, Pambalu, Mwamakula ambao sio wajumbe. Hawa wote walipiga kura kama wajumbe wa baraza, technically Mchome yupo 100% sahihi kanuni zilikiukwa. Japo motivation yake inaweza kuwa ni hasira, disappointment.

Unajua haya yote yanatokea sababu Mshindi Lissu hakuitisha baada ya kushinda mkutano wa kuponya majeraha ya uchaguzi, kuwasikiliza 49% walioshindwa na kujenga uongozi jumuishi.

Ukiwa na akili timamu huwezi kuwa dismissive of 49%. Utajaribu kuwaweka karibu. Mshauri wako mkuu akiwa Lema utapotea. Lema yupo vizuri kwenye mipango ya pesa, kutukana na kudhalilisha upinzani ndani au nje ya chama.

Busara ya upatanishi hana. Anawaita wenzake maboya, wapumbavu, wajinga. Kisa amepewa ukimbizi Canada. Watanzania wote anawaona ni wapuuzi anamtukana Magu, watu wa kusini wote, yoyote. Kwake huu ndio ujasiri.

Lema is not intellectual sound, sio mpatanishi, anatumia maneno ya kejeli. dharau, matusi, ndio maana alifungwa sana ila ndio anapopata umaarufu, pesa Canada.

Ila yupo vizuri kwenye kampeni kama Tone tone, join the chain. Ni mhamishaji mzuri kupata pesa. Ila yupo very crass, intellectually Lema is extremely limited. Atampoteza Lissu na kumjengea maadui wengi zaidi.
 
Kweli pesa kwa baadhi ya watu huwaondolea vyote. Yaani huyu akili yote kwisha. Amebakia anabwabwaja upuuzi.

Agenda ya NO REFORM NO ELECTION ni ya Lisu au ya CHADEMA? Kama hukubaliani na agenda ya chama, the best thing unatakiwa kufanya, ni kujiondoa. Maana unatakiwa kuwa ndani ya chama kwa sababu unakubaliana na falsafa na agendaza chama.
 
Back
Top Bottom