Lembeli: Nikikatwa jina, nitahamia chama kingine

Lembeli: Nikikatwa jina, nitahamia chama kingine

Fortilo

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
5,890
Reaction score
17,744
Akihutubia Mamia ya Wananchi Jimboni kwake, Mbunge wa Kahama, amewataka wananchi wake wafanye kama walivyofanya uchaguzi wa mtaa,
Kwamba kama chama chake kinaweka mtu asiyekubalika yeye afanyeje?...."Mimi ndio wa kuja kuzomewa? Mtu anatishia kukata jina, basi kateni jina langu, ukate jina langu we nani? "basi kateni Jina langu muone" aliongeza mbunge huyo machachari huku akishangiliwa na hadhara aliyokuwa akihutubia

Source ITV.

Hii inaonesha CHADEMA imewaingia wananchi kwenye damu....... note ...fanyeni kama mlivyofanya uchaguzi wa serikali za mitaa na wananchi kushangilia Kwa nguvu.........
 
Ukishaanza kula nyama ya mtu huwezi kuacha utaendelea kuila tu..!
Hichi ndicho kinawakuta Ccm watatafunana wenyewe kwa wenyewe mpaka wamalizane na bado hapo sinema ndio kwanza inaanza.
 
Akihutubia Mamia ya Wananchi Jimboni kwake, Mbunge wa Kahama, amewataka wananchi wake wafanye kama walivyofanya uchaguzi wa mtaa,
Kwamba kama chama chake kinaweka mtu asiyekubalika yeye afanyeje?...."Mimi ndio wa kuja kuzomewa? Mtu anatishia kukata jina, basi kateni jina langu, ukate jina langu we nani? "basi kateni Jina langu muone" aliongeza mbunge huyo machachari huku akishangiliwa na hadhara aliyokuwa akihutubia

Source ITV.

Hii inaonesha CHADEMA imewaingia wananchi kwenye damu....... note ...fanyeni kama mlivyofanya uchaguzi wa serikali za mitaa na wananchi kushangilia Kwa nguvu.........
SERIKALI za mitaa walifanyaje? Naona iko kazi mwaka huu, maana wanatishana tu, hata kama humtaki unaogopa kumkata!
 
Kama MACCM wameshindwa kuwakata akina Tibaijuka (mboga ya milioni 10), Chenge (joka la makengeza), Ngeleja (mpokea rushwa mwingine) kwanini wamkate Lembeli!? Kwa sababu zipi Lembeli akatwe lakini hawa wapokea rushwa wapitishwe ili kugombea tena ubunge 2015!?


Akihutubia Mamia ya Wananchi Jimboni kwake, Mbunge wa Kahama, amewataka wananchi wake wafanye kama walivyofanya uchaguzi wa mtaa,
Kwamba kama chama chake kinaweka mtu asiyekubalika yeye afanyeje?...."Mimi ndio wa kuja kuzomewa? Mtu anatishia kukata jina, basi kateni jina langu, ukate jina langu we nani? "basi kateni Jina langu muone" aliongeza mbunge huyo machachari huku akishangiliwa na hadhara aliyokuwa akihutubia

Source ITV.

Hii inaonesha CHADEMA imewaingia wananchi kwenye damu....... note ...fanyeni kama mlivyofanya uchaguzi wa serikali za mitaa na wananchi kushangilia Kwa nguvu.........
 
Ukishaanza kula nyama ya mtu huwezi kuacha utaendelea kuila tu..!
Hichi ndicho kinawakuta Ccm watatafunana wenyewe kwa wenyewe mpaka wamalizane na bado hapo sinema ndio kwanza inaanza.

Umesahau kuitaja chadema kuwa wanatafunana
 
​kwa huyu SISIEM lazima wakae tu, wanachama wa SISIEM Zanzibar ndo wanaonewa sana
 
Ni pale mh huyu anapo watishia viongozi wakuu wa chama chake kwamba wa jaribu kukata jina lake kwenye wagombea wa ubunge waone kitakachotokea.

Pia kama hiyo haitoshi kuwa shawishi wapiga kura wa jimboni kwake kuchagua mtu na si chama.

Haya anafanya kwenye mikutano ya hadhara na si katika vikao rasmi vya chama. Nina haki angekua Mznz kama Moyo angesha fukuzwa. Hapa Utanganyika wake ndio una mbeba.
 
Amesoma majira ya nyakati,anahisi kuna harufu ya fitina kwa hiyo anachokifanya anatafuta mtaji wa wapiga kura.Ukimkata anahamia Chama kingine na kubeba kiti kiurahisi.

Pia kasoma mood ya watu wa huko nadhani wamekaa kimabadiliko lazima uende nao sawa la sivyo wanakupiga chini.
 
Ni pale mh huyu anapo watishia viongozi wakuu wa chama chake kwamba wa jaribu kukata jina lake kwenye wagombea wa ubunge waone kitakachotokea.

Pia kama hiyo haitoshi kuwa shawishi wapiga kura wa jimboni kwake kuchagua mtu na si chama.

Haya anafanya kwenye mikutano ya hadhara na si katika vikao rasmi vya chama. Nina haki angekua Mznz kama Moyo angesha fukuzwa. Hapa Utanganyika wake ndio una mbeba.

We unafikiri sababu ni nini?
 
Ni pale mh huyu anapo watishia viongozi wakuu wa chama chake kwamba wa jaribu kukata jina lake kwenye wagombea wa ubunge waone kitakachotokea.

Pia kama hiyo haitoshi kuwa shawishi wapiga kura wa jimboni kwake kuchagua mtu na si chama.

Haya anafanya kwenye mikutano ya hadhara na si katika vikao rasmi vya chama. Nina haki angekua Mznz kama Moyo angesha fukuzwa. Hapa Utanganyika wake ndio una mbeba.

Wewe ulitakaje kwani?
 
Lembeli anapendwa sana Kahama Chama chochote akienda atashinda tu., jamaa ni jembe kama Filikunjombe, Kuna tetesi kua jina lake litakatwa na Mkuu.
 
Hari ya weledi wa watumishi serikalini na vitendo vya rushwa vilivyokithili vimefika mahali havivumiliki ndio maana huyo Lembeli anawachana lolote na liwe
 
Wewe ulitakaje kwani?


Nilitaka kusikia nini maoni na michango ya wanaJF.Nikushukuru wewe umechangia kwa kuliza swali na nimekujibu.

Kama hujaridhika na jibu uliza swali la nyongeza. Angalizo unapo uliza swali la nyongeza ili ujibiwe na usitoke nje ya maada kama hii swali ni lilo jibu, sharti la kuuliza swali la nyongeza uanze na kibwagizo,"kwa kuwa".
 
mgej sidhan kama wanaiva na lumbel, mgeja yupo kwa mamvi...timu tofaut na ufisadi!
 
Back
Top Bottom